Wanaume wa Tanzania hawajui kutongoza

Wanaume wa Tanzania hawajui kutongoza

waktongoza wanaongea uongo. uongo mbaya ukigundulka unachwa. mwngne anatongoza hku anakuita mdogo wng au dd. sa angekua dd ako au mdogo ako ungemtongoza? mi ukintongoza uknita mdogo ako nakutemea mate. km mdgo ako kwann untongoze. kukosa adab


Hongera na pongezi nyingi zikufikie.
 
We ulikuwa unataka utongozwaje. We si ndo ambae hutaki shule unataka kuwa model ama kweli kuwa na mtoto mwenye akili Kama huyu ni hasara.
 
ivi kwell sikuiz kunakutongozana kwell me sikumbuki marayamwisho lin kutongoza
 
Wanawake wa Tz ni vituko. Kwa karne hii bado unasubiri kutongozwa. Nchi nyingine, sana sana majirani zetu KE, mdada akipenda anafunguka mwenyewe. Jiongeze kidogo, funguka.
 
Hii nayo ni mada/thread.?!ngoja nteme mate.
 
Ipo tofauti kubwa kati ya mwanamke na msichana, mwanaume na mvulana, jiweke ktk kundi sahihi
 
We nae utakuwa umekutana na vitoto vyenzio tu huko mtaani kwenu labda ndo vinajifunzia kutongoza kwako
 
Kama hatujui hizo mimba zinapatikanaje au watu wa tz wanatokea from no where..?
 
Wakatongoza wanaongea uongo uongo mbaya ukigundulka unaachwa, mwingine anatongoza huku anakuita mdogo wangu au dada.

Sasa angekuwa dada yako au mdogo ako ungemtongoza? Kama mdogo wako kwanini unitongoze, kukosa adabu.


we bado una bikra maaana kama huna basi huna cha kuongea
 
Ananikumbusha waqt uleeee dada salama au macho yangu?tutakula au fitna?duh kitambo sana nikinywa maji nakuona penye glass unanisimamisha wima kama minazi ya pwani unanichezesha reggae bila redio aaah sio mchezo enzi hizo bint anakata nyasi tu sijui ng'ombe wale nini!
 
Ktuombe radhi sana na hao wakenya wako wanawasifu wanaume wakibongo
 
Duuh dada ni heri ungekaa tu kimya maana hizo comment za wadau ni shida Sana
 
Back
Top Bottom