Nimeelewa unawaongelea wa Dar....Mwanaume unafanyiwa pedicure na manicure, una nyoa kiduku na kupata Vaseline mdomoni. Una begi ndani lina hand lotion, nail cutter, tissue, deodorant na perfume bila kusahau wallet yenye 5,000 ya nauli.
Wanaume wa mjini mmnishinda tabia. Mnakwenda bar mnashare chips ya ndovu na mwenzako.
malizia uoneWanaume wa.....
Duh!Ukisema PEDICURE unamaanisha wanaume wa mjini wanavaa PEDI au? Hebu nieleweshe mwanaume wa mkoani.
Wanaume wa darrrrrrrmalizia uone
Kila siku nakusisitiza hama huko tandale.Mwanaume unafanyiwa pedicure na manicure, una nyoa kiduku na kupata Vaseline mdomoni. Una begi ndani lina hand lotion, nail cutter, tissue, deodorant na perfume bila kusahau wallet yenye 5,000 ya nauli.
Wanaume wa mjini mmnishinda tabia. Mnakwenda bar mnashare chips ya ndovu na mwenzako.
Mwanaume unafanyiwa pedicure na manicure, una nyoa kiduku na kupata Vaseline mdomoni. Una begi ndani lina hand lotion, nail cutter, tissue, deodorant na perfume bila kusahau wallet yenye 5,000 ya nauli.
Wanaume wa mjini mmnishinda tabia. Mnakwenda bar mnashare chips ya ndovu na mwenzako.
mkuu ni wee vipiww ni Kipi hasa kinakuuma?
Hao wanaume wa dar huku kiranjeranje hakuna mambo hayoMwanaume unafanyiwa pedicure na manicure, una nyoa kiduku na kupata Vaseline mdomoni. Una begi ndani lina hand lotion, nail cutter, tissue, deodorant na perfume bila kusahau wallet yenye 5,000 ya nauli.
Wanaume wa mjini mmnishinda tabia. Mnakwenda bar mnashare chips ya ndovu na mwenzako.
Hapo kweli ataweza kupalilia boma, au kuwa na bustani, au kufuga kuku au kulinda boma toka kwa Panya RD, au hata kufanya kazi za kutumia nguvu kwenu?!Mwanaume unafanyiwa pedicure na manicure, una nyoa kiduku na kupata Vaseline mdomoni. Una begi ndani lina hand lotion, nail cutter, tissue, deodorant na perfume bila kusahau wallet yenye 5,000 ya nauli.
Wanaume wa mjini mmnishinda tabia. Mnakwenda bar mnashare chips ya ndovu na mwenzako.
Kwa tafsiri niliyonayo baada ya kutembelea kamusi ya Eng-Swahili hiyo "pedi" haibadiliki inabaki pedi. "Cure" ni kutibu hivyo ukiunganisha ni kutibu pedi japo sijawahi kusikia huu ugonjwa.Ukisema PEDICURE unamaanisha wanaume wa mjini wanavaa PEDI au? Hebu nieleweshe mwanaume wa mkoani.
Mm nimekuwaje????mkuu ni wee vipi
Zama zimebadilika mkuu sio kila homa ni malaria.Kwa tafsiri niliyonayo baada ya kutembelea kamusi ya Eng-Swahili hiyo "pedi" haibadiliki inabaki pedi. "Cure" ni kutibu hivyo ukiunganisha ni kutibu pedi japo sijawahi kusikia huu ugonjwa.
Kwa upande wa "manicure" kwa njia niliyotumia hapo juu: "mani" unaongezea tu "i" mwisho na cure inabaki kama awali kutibu. Hivyo "Manicure" ni kutibu manii. Duniani kuna magonjwa mengi sana siku hizi huwezi amini haya magonjwa siyajui kabisa.