Wanaume wa Marekani mna nini?

Wanaume wa Marekani mna nini?

Mkuu hii mijitu ndio inayotuletea gundu, tujulikane tunawala akina Valentina bure kumbe sio kweli. Sasa jitu linajitangaza mimi nimelitia?

Imetosha sasa kaka.

Utanisababishia maadui zaidi ya nilionao bana.

Tayari ushaanza kuhisiwa wewe ndo mimi.

Tafadhali sana kaka naomba yaishe tu.

Acheni kutukanana bana...imetosha sasa.
 
Tafadhali kaka....nakuomba sana yaishe.

Ushaanza kutuhumiwa tena kuwa wewe ndo mimi.

Nisingependa iwe hivyo kabisa.
Wewe kaa pembeni mkuu, mimi sikufahmu wewe. Admin anaweza kuthibitisha kuwa sisi ni watu wawili tofauti.
 
Huyu anaongea lolote, ni muuza K.

Hapana kaka...thread ilianza vizuri mnataka kuiharibu tu sasa.

Just take the high road bana...it's never too late to do that.

Ipo siku mtasababisha nimwagiwe tindikali kisa tu ni mambo ya mistaken identity!
 
Wewe kaa pembeni mkuu, mimi sikufahmu wewe. Admin anaweza kuthibitisha kuwa sisi ni watu wawili tofauti.

Najua hunijui nami sikujui...kifupi hatujuani.

Lakini tayari watu wana imaginations zao.

Anywho...sawa. Ugomvi haunihusu...ngoja niendelee kuwa msomaji tu.

Atakayedhani wewe ndo mimi au mimi ndo wewe shauri yake.
 
Teh teh teh saidia kutuliza ghasia basi, maana leo sijui ni siku gani hii.

Yaani humu watu huwa wana imaginations za ajabu kweli.

Wakishaanza kutukanana tu utaona wanaanza kuhisiana...kama si directly basi indirectly.

Kaazi kweli kweli yaani.

Inanikumbusha Le Mutuz vs Kiranga ......na kuishi basement😀.

Kuna vituko kweli humu JF.
 
Yaani humu kumbe huwa tunaliana timing tu, leo nimeshambuliwa na kuambiwa natokea Misungwi duuh

Si heri wewe....

Huyo mshikaji Simplicity. watu hawakukawia ku insinuate kwamba eti yeye ndo mimi.

Sasa hivi naona hiyo hali imejirudia tena.

Mi jamaa hata simjui na wala sijui alipo.

Lakini ndo hivyo tena.

Too bad.
 
Si heri wewe....

Huyo mshikaji Simplicity. watu hawakukawia ku insinuate kwamba eti yeye ndo mimi.

Sasa hivi naona hiyo hali imejirudia tena.

Mi jamaa hata simjui na wala sijui alipo.

Lakini ndo hivyo tena.

Too bad.

Achana na huo mlupo mkuu. Una stress kama treni ya makaa ya mawe.
 
Sasa huyu mdada alivyo, hawezi kabisa kujitokeza wala kujitolea ushahidi, maana hafai hadi mwenyewe anajijua.

Watu wakishaona USA humu akili yao yote inahamia kwa Nyani Ngabu😀.

Sasa hapa utaja ambiwa eti unaandika na kujijibu mwenyewe.

Ama kweli al junun funun!
 
  • Thanks
Reactions: irk
Watu wakishaona USA humu akili yao yote inahamia kwa Nyani Ngabu😀.

Sasa hapa utaja ambiwa eti unaandika na kujijibu mwenyewe.

Ama kweli al junun funun!

Sasa yeye anabahatisha ila sisi tushamjua ni nani. Ni mlupo fulani hivi, wewe huoni anavamia kila mtu?
 
Back
Top Bottom