Umri miaka 35 kwenda juu hajawai kuoa ,ana watoto mama mbalimbali(hawezi kutulia na wewe)
ndo kamaliza chuo hana kazi na wewe una kazi(hapo anapooza machungu ya maisha hakuna love)
anajiona superstar (ni mjinga sifa zitakumaliza)
anakupipu pibu ata kama mnatumia mtandao mmoja(bahili)
ni mchoyo(ukitoka nae anaomba menyu na kukagua kila kitu sh ngapi in advance then ananunua vya bei rahisi)
ndo kamaliza chuo hana kazi na wewe una kazi(hapo anapooza machungu ya maisha hakuna love)
anajiona superstar (ni mjinga sifa zitakumaliza)
anakupipu pibu ata kama mnatumia mtandao mmoja(bahili)
ni mchoyo(ukitoka nae anaomba menyu na kukagua kila kitu sh ngapi in advance then ananunua vya bei rahisi)