Truths
JF-Expert Member
- Mar 26, 2017
- 1,494
- 1,504
Ipi heri kuoa wake wengi wanaojulikana au kuwa na michepuko kisa dini inataka uoe mke mmoja?
Wanaume wa kikristo mnatudanganya mmeao mke mmoja lkn kumbe mna wake wa siri zaid ya 20!
Heri mje huku kwetu unaoa mpaka wake wa nne kwa raha zako!
Mosi:- Duniani kuna dini nyingi sana za ku opt.
Pili:- Hakuna mahali imethibitishwa kwamba kwa Mwanaume kua na Wake wanne pekee kwamba inapunguza kua na mahusiano na wanawake wengine nje ya hao wanne.
Tatu:- Kama una hamu ya kuolewa namba mbili na Mkristo. Sema kabisa usizunguke mbuyu.
Nne:- Dini ni zaidi ya kuoa na kuolewa. Kubadili imani kwasababu moja tu ya kuoa angali hukubaliani na mambo mengine mengi ndani ya dini ni jambo tata sana.
Tano:- Hakuna mahali panaonyesha kiongozi wako wa dini alitosheka na wanawake wanne....
Sita:- Mambo ya dini huyajui, ndio maana yanakupa mihemuko. Hakika ukiyajua, utahama dini hata leo, tena kwa hasira kali sana....
wanne.