Hapo umejitahidi kunyoosha japo bado unajichanganya lkn sikuhukumu sana maana ndipo ufahamu wako ulipoishia, heri uje kwa Yesu ndiyo dawa na salama ya roho yakoUislam unakataza matusi. Ukimtukana Asiye Muislamu unapata dhambi, ukimtukana Muislamu mwenzio unakuwa kafir.
Siku njema.
Baki na Yesu wako niache na uislam Wangu..Hapo umejitahidi kunyoosha japo bado unajichanganya lkn sikuhukumu sana maana ndipo ufahamu wako ulipoishia, heri uje kwa Yesu ndiyo dawa na salama ya roho yako
Na hilo la kuwaita wengine kuwa ni makafiri?Baki na Yesu wako niache na uislam Wangu..
Sipend kudharau dini ya mtu na Huwa sipendi yangu ikidharauliwa kila mtu abaki anachoamini.
Tupia picha ya K yako tuthaminisheUliwahi kuona wapi mkristo mrembo kama mimi?
Na hilo la kuwaita wengine kuwa ni makafiri?
Mbona huyo mwenzio analeta dharau? Wokovu ni kwa njia ya msalaba huyu marehemu amewapotosha sana, hakuna salama huko ndiyo maana aliwaachia maagizo mmswalie maana hajui anakwenda wapi. lkn Yesu wetu amekwenda kuandaaa makao akirudi tuna sepa zetu, huko alipo anatuombea tu, lkn wenu ameshaoza long timeBaki na Yesu wako niache na uislam Wangu..
Sipend kudharau dini ya mtu na Huwa sipendi yangu ikidharauliwa kila mtu abaki anachoamini.
Vitabu vipo vingi,cjui vitabu gani unaniuliziaUnajua nini maana ya kafiri??
Jifunze kusoma vitabu. Kwa faida Yako
Basi usingeniuliza. Km ushasoma KwaheriiiiVitabu vipo vingi,cjui vitabu gani unaniulizia
Kafir-mtu asieamini.Basi usingeniuliza. Km ushasoma Kwaheriiii