Wanaume wa kikristo wanaongoza kwa michepuko!

Wanaume wa kikristo wanaongoza kwa michepuko!

Status
Not open for further replies.
Ipi heri kuoa wake wengi wanaojulikana au kuwa na michepuko kisa dini inataka uoe mke mmoja?

Wanaume wa kikristo mnatudanganya mmeao mke mmoja lkn kumbe mna wake wa siri zaid ya 20!

Heri mje huku kwetu unaoa mpaka wake wa nne kwa raha zako!

Mama usiwe mjinga

Hujawahi sikia shekhe kabaka japo anawanne nyumbani

Au padri kubaka mtoto wa kiume japo wanawake wamejaa tele mitaani

Kuoa wengi haimanishi haichomi kwa michepuko
 
Kuchepuka ni idea iliyomo akili mwa mchepukaji bila kujali rangi dini au jinsia yake.
 
Sasa umeshasema tunawake wasiri zaidi ya 20 alafu unatuita tuje kwenye wake nne mbona 20 na wa nne hawaendani me nilidhani unatuitia tuje kwawake hata 40+
 
Ipi heri kuoa wake wengi wanaojulikana au kuwa na michepuko kisa dini inataka uoe mke mmoja?

Wanaume wa kikristo mnatudanganya mmeao mke mmoja lkn kumbe mna wake wa siri zaid ya 20!

Heri mje huku kwetu unaoa mpaka wake wa nne kwa raha zako!
Nasikia huko wanapooa wake wengi wakifika peponi wanaongezewa wake wengine 70.

Naomba kujua wanawake nao mtapata wanaume 70 au ninyi mna thawabu tofauti?

Vv
 
Sio bure umetumwa wewe, au kuna kitu unataka, pia mods nashangaa hamja futa huu uzi mpaka sasaivi
 
Naona huko chini pameanza kukuwashawasha maninaaa zako!

Pilipili usiyoila inakuwashia nini!? Huko kwenu ndio mpo perfect sana?

Pambana na hali yako, utakuja kubakwa kisa kiherehere..
 
Kwenye orodha yako unao wangapi wa kikristo ambao wamekupelekea moto?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom