Wanaume wa kichaga

Hii ndio shida kubwa ya mwanaume au mwanamke kutumika kama ngazi kwenye mahusiano. Mtu akifika juu, anakuwa hakutaki tena.
 
Haujanijibu swali langu and I don't want to raise hell.
πŸƒβ€β™‚οΈπŸƒβ€β™‚οΈπŸƒβ€β™‚οΈπŸƒβ€β™‚οΈπŸƒβ€β™‚οΈπŸƒβ€β™‚οΈπŸƒβ€β™‚οΈπŸƒβ€β™‚οΈπŸƒβ€β™‚οΈ
 
Ni golddigger yuko kimaslai
 
umegenerilize mnoo,mbn tuko na wasukuma huku kanda pendwa na wanatusifia vya kutosha,huwa mm nkidate na dyemu anakua ruba mpk mwenyew niamue kumuacha
 
Mi Sio Mchaga, Ila Mda Wa Kujibebisha Kwa Mwanamke Sina, Akinipa Papuchi tu Inatosha
 
unaweza ukawa sahihi kwa upande mmoja na kwa upande mwingine usiwe sahihi,nasema hivyo kwa sababu hakuna mtu asie na madhaifu,kila mtu ana udhaifu wake ,ila kama unampenda mtu unaweza kuishi na kuvumilia madhaifu yake,jiulize maswali haya: je unadhani hakuna analokuvumilia wewe? na je utakapokwenda una uhakika gani utakayempata atavumilia madhaifu yako?, je utakayempata utaweza kuishi na madhaifu yake?, kumpata mtu anayekupenda, kukuheshimu na kukutimizia mahitaji yako si jambo jepesi dadangu.
jaribu kukaa nae chini muyaongee
NB:tatizo sio kabila, mimi ni mchaga and am very funny
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…