Wanaume wa kichaga

 
Mweh mi najali hisia Kwanza, Kama mtu hanisisimui sijisumbui kuwa nae, tusije tafutiana lawama bure
 
Duuuh mnataka nini bibie? Do you think there is a perfectionism somewhere?
 
Zero brain kabisa 😂😂😂
 
A word from horse's mouth...
 
Huko mwishoni nimewasifia nadhani familia ni kitu muhimu kuliko vitu vingine vidogo vidogo
Nimeona ofcourse mwanaume akijali familia yako mimi nahisi ndiyo jambo mntakiwa mjivunie...mambo ya kutokukufikisha kileleni ni mambo mnaweza kujadili na mkafundishana,mambo ya kutokua romantic pia mnafundishana kwa upendo sio kwa kumkosoa ,maisha yanakua mazuri tu, maana ukisema utafute mchumba mwingine kila mchumba atakua na mapungufu yake,utampata aliekua romantic lakini hana hela siku ya mwisho utamchukia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…