Wanaume wa kichaga

Muache,tafuta unaeona anakufaa akuoe dada.
 
Ila jamani wanajua sana kujali familia zao, kwa Hilo nawapongeza. Mimi ni mchaga lkn haijawahi tokea nikadate mchaga mwenzangu
Yes wachaga wanajal family sana,bora kuolewa na mtu hayuko romantic ila majukumu yake kama baba na kichwa cha family anayajua na anayabeba vema
Mwache huyo ukadate wanaotaka kutunzwa wao na watoto mtakao zaa ndipo utajuta
Ndoa sio kuhave fun na kuwa romantic all the time,it's more than that
 
Milango ya pepo
ndio ndio mkuu, hiki kichwa chako naona kimejaa madini ya kutosha kwa medula oblongata; naamini utanivusha salama.

Nje nilipo uku kuna baridi Kali na mvua kubwa ya mawe; nione huruma nifungulie mlango mwenzio niingie ndani.
 
Hizo sifa zinatosha ulitaka awe sifa zaidi ya hizo hapo, hayo mengine unamtengeza tu sisi tunabdilika haraka tukinogewa na mapenzi .Na mwanaume kama anajali familia yako hiyo ndiyo nguzo sasa ya furaha what else do you need, sasa nyie dada zetu mnataka kila kitu sisi sio malaika as if nyie pia ni wakamilifu,nyie mnapungufu yenu ila mnasahau yenu
 
Kwa kweli ni changamoto hawa watu, ukali na viburi, ila ukiombe kitu fasta huduma imefika
 
Hii comment imefanya nitamani ingekuwa ya kwanza kule kila mtu aone.
Una akili sana. Umalaya unafanya watu wasiridhike na wanaume wao.
Mtu ana uzoefu wanaume zaidi ya kumi anajua kila ladha.
 

Huko mwishoni nimewasifia nadhani familia ni kitu muhimu kuliko vitu vingine vidogo vidogo
 
True story indeedπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Najivunia kuwa mchaga. Si rahisi kumpata mwenye vyote, mtafute marriage counselor anaweza kuwapa mwongozo. Growing up with Chaga parents or relatives walitilia mkazo kutafuta pesa and financial education. 'Sex education' remains a taboo and is hardly discussed. As a Chaga man, I am still struggling with that mentality. Make wise and informed decisions. Hayo ndo maoni yangu.
 
Very right, ila kenge zitashupaza shingo juu ya hili.
Ukishaona demu umemuoa sio bikra changamoto kama hizi hazikwepeki. Unagegeda kumbe mtu anawaza mb.o ya Mzee toboa ilikuwa kubwa zaidi hii ni ndogo. Mzee toboa alikuwa ananitekenya huku na huku huyu hafanyi.
Upumbavu tuu mkuu na bila aibu mwanamke analia mtandaoni mume wake hajui mapenzi. Maadili zero.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…