Mkorintho wa 6
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 270
- 427
Ndugu zangu katika pitapita yangu huku mitandaoni, nimekutana na hadithi hii kwenye page ya TV fulani ikionyesha wanaume wa kenya wakivaa nguo za kike kwa kisingizio cha kuunga mkono kutokomeza saratani kwa wanawake.
Hali mnaionaje ni kweli ilikua lazima kufanya kitendo hicho au ndani yake kuna lengo la kuhamasisha ushoga? Aliyeratibu mpango huo sio wale wenye element za ushoga? Wenaume sikuizi wanapotoka sana; angalieni picha za tukio husika.
Hali mnaionaje ni kweli ilikua lazima kufanya kitendo hicho au ndani yake kuna lengo la kuhamasisha ushoga? Aliyeratibu mpango huo sio wale wenye element za ushoga? Wenaume sikuizi wanapotoka sana; angalieni picha za tukio husika.