Alooo kumbe hi platform ilikuaga ya moto sanaa nahs magreat thinkers tumebaki wachache ππKumbe kadogo hivyo[emoji16].
Hadi Maprofesa waungwana walikuwepo??
Aisee,naomba connection,huenda na mimi nikapata connection maisha magumu mtaani
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Wapi kasemaππKasema wewe jamani
Nyota yako imeng'aa zaidi
Kwa jinsi anavyozunguka zunguka hivo lazma tu ni wewe π π π au we hujaona hiloWapi kasemaππ
Si ukafue lakiniKwa jinsi anavyozunguka zunguka hivo lazma tu ni wewe π π π au we hujaona hilo
[emoji23]Alooo kumbe hi platform ilikuaga ya moto sanaa nahs magreat thinkers tumebaki wachache [emoji16][emoji16]
Nsamehe dada yangu ndio naenda hapaSi ukafue lakini
Msitufanyie hivyoSuluhu ni kufunga pm au kutokujibu any message
Angetaja anasema eti simu inaisha chaji na hapo utaambiwa umeme hakuna πππKwa jinsi anavyozunguka zunguka hivo lazma tu ni wewe π π π au we hujaona hilo
Niko Brazil njoo basi tuyajenge?π€£π€£π€£Nsamehe dada yangu ndio naenda hapa
Nlikua najinadi natafuta wa kuingia nae 2023 π π
Huhuu fungua pm waje uchagueNsamehe dada yangu ndio naenda hapa
Nlikua najinadi natafuta wa kuingia nae 2023 π π
Anataka kutuchezea mimi naona π πAngetaja anasema eti simu inaisha chaji na hapo utaambiwa umeme hakuna πππ
Nyie wa Brazil nawaogopa mnaomba sana hela, tushawashtukiaππNiko Brazil njoo basi tuyajenge?π€£π€£π€£
Jamani mtoto mzuri usinifanyie roho mbaya na pesa ukinipa kuna ubaya gani?πNyie wa Brazil nawaogopa mnaomba sana hela, tushawashtukiaππ
Kisa mnajua Vicoba tunavunja December ndio maana mnaomba hadi 45000 ya kutubembeleza tulaleJamani mtoto mzuri usinifanyie roho mbaya na pesa ukinipa kuna ubaya gani?π