Wanaume wa huku muache mapozi

Wanaume wa huku muache mapozi

Retired Sister

Senior Member
Joined
Jan 11, 2013
Posts
182
Reaction score
234
kuna siku nilitoa ombi langu la kutafuta mwenzi kwenye huu mtandao.walijitokeza watu wengi sana.
basi siku moja nikafanya appointment na mwanaume mmoja tukutane ili tujuane vizuri.tukapanga tukutane saa kumi na moja jioni pale steers!
mimi saa kumi na nusu nilikuwa pale,kumi na moja ikafika hajafika na nusu bado basi akatokea classmate wangu wa college,nilikuwa sijamuona siku nyingi kweli since nilivoenda nje kusoma 2009.tukapiga story nikaondoka nae tukahamia kiwanja kingine.tumetoka toka tumeamua kuingia kwenye relationship.
yule jamaa wa huku akaendelea kunisumbua ila sina feelings nae tena. mwanaume gani huwezi kukeep appiontment kwenye first date? nahukuru kwa kuchelewa pia maana huyu classmate wangu yuko very hot! hapa sibanduki! labda aniache.
 
Duuh, ndio maana naamini mwenda bure sio na mkaa bure. Fikiria, if you didn't take that simple step from home, yaani wewe inabidi tu umshukuru huyu wa JF lakini weka umbali nae.

You are so great!!!!
 
Duuh, ndio maana naamini mwenda bure sio na mkaa bure. Fikiria, if you didn't take that simple step from home, yaani wewe inabidi tu umshukuru huyu wa JF lakini weka umbali nae.
shukrani sana.na kwake chelewa chelewa utakuta mwana si wako.
 
Back
Top Bottom