Jogoo wa Shamba II
JF-Expert Member
- Jan 14, 2013
- 3,638
- 7,146
Ahaaaaaa
Jamaa anaogopa kuchambia magunziLeo nikuwa kwa mama ntilie mmoja hivi maeneo ya magomeni,katokea mwanaume wa dar etii hawezi kula ugali wa Dona ni mgumu utamuumiza meno daaaah
wanaume wa dar bna.c ndo maana wakiona panya road wanajificha mpk kwenye uvungu wa IST
Sent from my TECNO P5 using JamiiForums mobile app