Emok Jr
JF-Expert Member
- Mar 17, 2018
- 1,094
- 795
Haya sasa jana mwanaume kutoka senegal aliyetuwakilisha vyema wanaume wa mkoani aka Diatta.
Wanaume wa dar tunatoa mazoezi ya kuwa na sura za kazi kama Diatta ni bure kabisa sio mnakuwa na sura kama dada zenu!!
Viva #Diatta.
Wanawake hebu jitongozeni kwa Diatta tupate mbegu yake hapa Tz kwa ajili ya maendeleo ya soka letu.
Picha yake nimeshindwa kiattach mwenye nayo aiweke hapa basi ili dada zetu wa tz wachangamkie fursa.
Wanaume wa dar tunatoa mazoezi ya kuwa na sura za kazi kama Diatta ni bure kabisa sio mnakuwa na sura kama dada zenu!!
Viva #Diatta.
Wanawake hebu jitongozeni kwa Diatta tupate mbegu yake hapa Tz kwa ajili ya maendeleo ya soka letu.
Picha yake nimeshindwa kiattach mwenye nayo aiweke hapa basi ili dada zetu wa tz wachangamkie fursa.