MR MAJANGA
JF-Expert Member
- Oct 4, 2014
- 3,524
- 10,817
yaani hakuna kitu kilichotushusha thamani wanaume wa Dar kama kitendo cha kuwakimbia panya road, ingawa siyo maeneo yote walifika, ila kule walikofika kitendo cha wanaume kuwakimbia panya road imekuwa nongwa, sasa tunaonekana waoga ila ipo siku panya ataingia tu choo cha paka, siku hiyo heshima lazima irudi na serikali wataingilia Kati.