Wanaume wa Dar katika kashfa nyingine tena

Dar wanasukuma matumbo hata mazoezi hawafanyi wamekalia kula michemsho na bia+ KITIMOTO, wengi wao wana OBESITY, unategemea nini?
 
Dah inasikitisha,ila ushujaa wa kiboya utapotea, unatuachia mke, bajaji na stepson, tunaendeleza maisha
 
wewe dar sio kama huko kwenu, ukuileta ushujaa wa kiboya unapoteza fasta na majanga unaachia familia yako, akili kichwani ulinzi wako unao mwenyewe!

Mwambie,
Kuwa mwoga ni aibu, tena ni aibu kubwa ila waoga usimama vifua wazi mbele ya nyumba zao wakionyesha makaburi ya hao walioitwa mashujaa...Akili kumkichwa, jifanye shujaa utukusanye tuje tukuimbie wakati tunakupeleka makaburini au uwe mwoga jioni urudi nyumbani kwako salama huku umebeba matunda na mazagazaga mengine kwa ajili ya watoto wako, mkeo na family members wengine.
 
Sasa iweje dar uwe mkoa unaongoza kwa unywaji wa supu ya pweza na matumizi ya dawa ya kiongeza nguvu za kiume
Lazima uongoze kwa sababu idadi ya watu ni kubwa ukilinganisha na mikoa mingine.Kwani Supu ya Pweza ndo inaongeza nguvu za kiume?
 
Mbona unatokwa na povu, wanaume wa dar kutomasa tu ndo kazi, kupigana na wezi zipo kampuni zinafanya kazi hizo
 
Lazima uongoze kwa sababu idadi ya watu ni kubwa ukilinganisha na mikoa mingine.Kwani Supu ya Pweza ndo inaongeza nguvu za kiume?

Umemjibu vyema sana.

Kwani lini alienda Arusha au Kilimanjaro ukamkuta Pweza sokoni?

Huku tunamla kwakuwa anapatikana na aondoe fikra kwamba anaongeza nguvu za kiume, tunamla kama kitoweo tu na supu yake ni tamu asikwambie mtu.

Dar pesa ni ngumu kuipata hivyo mwisho wa siku lazima upate msosi wa maana....mchemsho, bia kidogo nk. sio unatumia nguvu kutafuta pesa alafu unakufa kwa njaa au utapiamlo.

Mwisho ni kigezo gani mnatumia kuita mtu mwanaume wa dar? Hata akiwa kaja kusoma au kufanya mambo yake kwa muda tayari ni mwanaume wa dar?
 
Dar wanasukuma matumbo hata mazoezi hawafanyi wamekalia kula michemsho na bia+ KITIMOTO, wengi wao wana OBESITY, unategemea nini?

Dar pesa ni ngumu kuipata hivyo mwisho wa siku lazima upate msosi wa maana....mchemsho, bia kidogo nk. sio unatumia nguvu kutafuta pesa alafu unakufa kwa njaa au utapiamlo.

Mwisho ni kigezo gani mnatumia kuita mtu mwanaume wa dar? Hata akiwa kaja kusoma au kufanya mambo yake kwa muda tayari ni mwanaume wa dar?
 
|Mwanaume wa Dar acheni kupenda rusharoho, chips mayai na kula mayembe mabichi yenye masala.
 
Nimesikiliza clip ya dada mmoja anaeelezea mtu alie choma watu kisu ndani ya Daladala. Eti wanaume watu wazima walikuwa wanakanyagana kukimbia.

Hadi mama mmoja jasiri alipo jitolea na kukishika kile kisu cha mvamizi hadi kikamkata vidole.Eti ndipo wanaume wakajitokeza.

Kweli jamani wanaume wa Dar! Hadi msaidiwe na kina mama!

Aibu iliyoje hii
Khaa!! Sikiliza wewe, kama huijui Dar kaa kimya. Kwanza hiyo daladala ilikuwa inaelekea ubungo terminal na mida yenyewe ndiyo ilikuwa inakaribia ile ya mabasi ya Dodoma, Mwanza na Musoma. Sasa unategemea nini hapo? Kama mkoa mko vizuri mbona sista zenu wamejazana wanauza huku?:glasses-nerdy:
 
dudumizi09

Wanaume hata wakiwezeshwa. ........(malizia) ndiko tuliko kwa sasa.
Wewe soma uzi za humu nyingi ni madhaifu ya wanaume mara kushindwa kitandani, kushindwa kuhudumia family, kushindwa kulipa bill. .. Nk.
Ikishindikana wafadhili wanawake tatizo kipindi kile ilikua wanawake wakiwezeshwa wanaweza lakini sasa kimegeuka na mbaya hata wanaume wakiwezeshwa ndio wanalala kabisa hawajiongezi ndio shida na madhara ya umarioooo hapa mjini.

Kamata mwizi men

Kabisa wanaume wa Dar aibu sana! mna nini lakini? yaani jaribuni kujiongeza angalao kidogo duu nani kawaloga? mnakula maharage ya wapi? mlenda si mlenda mmhh pyuu. Hata kufunga kitanda issue mpk amwite fundi seremala? wakati ni nati tuu za kukaza?
 
Back
Top Bottom