Wanaume wa Dar buana...!

Wewe bado hujajua tabu za usafiri au unajisahaulisha, mimi nasafiri na daladala Kila siku kuanzia kwenye mwendo kasi mpaka kwenye daladala za gomzi na huwa napandia njian mfano asubuh sijawah pata gari ambalo halijajaa siti hiyo haimaanishi nisisafir kisa nisubiri gari ambalo halijajaa ndio nipande na halipatikan utasubir na halipo labda uwe unapandia mwanzo wa kituo tena hilo scrambling lake si la kitoto sasa niambie mama mwenye mtoto au mjamzito au asiejiweza huo uwezo anautoa wap?!! Anyway ni huruma ya mtu lakin usiseme eti kama haujiwez usubiri gari ambalo halijajaa usubir lisilojaa.
 
Nadhani nikawaida route hiyo,maana Idd mosi nilishuka hapo wakati naenda Chanika, gari nililopanda jambo kama hilo lilitokea
 
Dar mna mada za kitoto!!, kupishana kwenye daladala nayo ni mada ya kuwa na wachangiaji hivi..... mwingine ataketa uzi wa demu nilimnyima nauli na nauli yenyewe 300, basi hapo utaona wachangiaji kibao lkn wee lete mada ya maana uone......
 
sikuona haja ya kufungulia uzi!kama mnapendana kwl c angempisha tu kiti hicho?kwa hyo ww ilikuumaa baada ya dingilai kuwapa kwel yenu sio?
 
Dar mna mada za kitoto!!, kupishana kwenye daladala nayo ni mada ya kuwa na wachangiaji hivi..... mwingine ataketa uzi wa demu nilimnyima nauli na nauli yenyewe 300, basi hapo utaona wachangiaji kibao lkn wee lete mada ya maana uone......
Hebu nipe mfano wa mada moja ya maana ambayo wewe unaweza kuiweka kwenye hili jukwaa
 
sikuona haja ya kufungulia uzi!kama mnapendana kwl c angempisha tu kiti hicho?kwa hyo ww ilikuumaa baada ya dingilai kuwapa kwel yenu sio?
Kama hukuona haja ya uzi basi ilitakiwa usione haja ya kukomenti pia
 
MNABOO KWELI KWELI UTAKUTA GARI IMEJAA MAMA AMEBEBA MTOTO ANANGANGANIA KUINGI KWAKUA ANATAKA KUWAI WAKATI NYUMA KUNAGARI LINGINE HALINAWATU CITI KAMAZOTE YE KANGANGANA NA KUBANANA HUMO MWIXHO TUNAOONA WABAYA WALIO KWENYE CTI
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…