Wanaume wa Dar buana...!

Eti na wako proud, hivi wako proud au ni vile tu hawana namna maana waume zao ndio hayo maafurushi
Haha eti mtu yuko proud kubeba mziko wa kuni, jembe na mbele ana mimba ya miezi nane...he must be kidding
 
Haha eti mtu yuko proud kubeba mziko wa kuni, jembe na mbele ana mimba ya miezi nane...he must be kidding
Kweli mwenza mbinguni kunatuhusu, hayo mateso alafu uchomwe moto tena kweli
 
Wanaume wengi wa kiafrika hawana huruma na wanawake,
Unaweza kuta mama kabeba mtoto na anaongozana na mumewe lakini kumsaidia ni shida.
Unakuta katanguliza devu lake mbele mpaka lina mvi mkewe anahangaika tu na mtoto mchuuuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…