Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 58,636
- 220,349
Maisha ni safari ndefu, ukifanikiwa kufika 60,70,80…ukiwa na afya njema ni jambo la kumshukuru Mungu. Changamoto kubwa hapa kama uko na mwenza wako na mipango yenu ya pesa iko sawa uzee mbaufurahia.
Shida inakuja pale mliachana na mwenza au mmoja ametangulia mbele za haki. Mwaume anaanza mahusiano na ka binti ka 20+. Kisa wanakuambia gari bovu huvutwa na gari zima. Ni chuchu saa sita ndiyo zinawapagawisha? Unakutana na baba yake binti Ana miaka 48 wewe umegonga 60. Lakini ni baba mkwe huyo.
Akiba uliyoiweka kwa miaka 35 unaitumia ndani ya miaka 2. Kuanzia kujengea wakwe nyumba, kusomesha mashemeji na kumtibu mama mkwe.
Genz wanawafilisi hawa age go wenzazngu.
Shida inakuja pale mliachana na mwenza au mmoja ametangulia mbele za haki. Mwaume anaanza mahusiano na ka binti ka 20+. Kisa wanakuambia gari bovu huvutwa na gari zima. Ni chuchu saa sita ndiyo zinawapagawisha? Unakutana na baba yake binti Ana miaka 48 wewe umegonga 60. Lakini ni baba mkwe huyo.
Akiba uliyoiweka kwa miaka 35 unaitumia ndani ya miaka 2. Kuanzia kujengea wakwe nyumba, kusomesha mashemeji na kumtibu mama mkwe.
Genz wanawafilisi hawa age go wenzazngu.