Wanaume!! Usimpe hela mwanamke ambaye huji kumuoa!!.

Wanaume!! Usimpe hela mwanamke ambaye huji kumuoa!!.

Wanaume mpo?!!! Huu uzi kwa ajil yetu sisi. Zama zmebadilika sasa. Ni marufuku kumpa pesa mwanamke ambaye huna malengo naye hayo ni matumizi mabaya ya pesa tena kwa kiwango cha lami ni bora hzo pesa ukatoe sadaka kanisan.

Mwanamke ambaye huna malengo naye ale pesa yako kabla hajakupa papuchi ila akishakupa funga waletti tia na kufuli kabisa. Wanawake hawana zaid cha kutupa sisi zaid ya papuchi tu.

Sasa wewe endlea kung'ang'ania mtu ambaye huna malengo naye utajutaa.

Nafikir mumeelewaa!! Wikend njema.
kama una ela za mawazo si ukae singo tuu..wenzio wanahonga sana tuuu..pambana na vujisent vyako
 
Wasio na pesa na wanataka kuwa na wanawake wa kiwango cha esiarajii utawajua tu! Babu wee huna pesa endelea kutuita shemeji tu

Tusipewe pesa hiyo veepeee!,,,, yaani nioge ning'ae nipendeze harafu wewe uje unibinue bure bure tu????
roll modal wangu nawe unajiuza kumbe??
 
Wasio na pesa na wanataka kuwa na wanawake wa kiwango cha esiarajii utawajua tu! Babu wee huna pesa endelea kutuita shemeji tu

Tusipewe pesa hiyo veepeee!,,,, yaani nioge ning'ae nipendeze harafu wewe uje unibinue bure bure tu????
Ukibinuliwa kwa hela lakini hamna tatizo right?
 
Mtadanga mpaka lini nyie wanawake. Mkipata ngwengwe mnarudisha mzigo kwa ndungu.
Wasio na pesa na wanataka kuwa na wanawake wa kiwango cha esiarajii utawajua tu! Babu wee huna pesa endelea kutuita shemeji tu

Tusipewe pesa hiyo veepeee!,,,, yaani nioge ning'ae nipendeze harafu wewe uje unibinue bure bure tu????
 
Wasio na pesa na wanataka kuwa na wanawake wa kiwango cha esiarajii utawajua tu! Babu wee huna pesa endelea kutuita shemeji tu

Tusipewe pesa hiyo veepeee!,,,, yaani nioge ning'ae nipendeze harafu wewe uje unibinue bure bure tu????
Sasa wewe wa kujiuza wa nini?
 
Back
Top Bottom