Wanaume ukatili umezidi, unapigaje mwanamke mjamzito

Wanaume ukatili umezidi, unapigaje mwanamke mjamzito

Hali ilivyo Sasa ya kizazi chetu ni mbaya Sana, wanawake na wanaume wamekua wahanga wa manyanyaso kwenye ndoa na mahusiano ya kimapenzi.
Mateso aliyokutana nayo huyu mwanamke ni makubwa mno, haijalishi makosa yake ila hakustahili kufanyiwa haya. Ndio shida ya mtu akikosa huruma na hofu ya Mungu ndani yake.
 
Asehh pole Sana my dear!haya Mambo jamani yanaumiza Sanaa
Yaani anakupiga ukiwa na kiumbe wake tumboni?hata Kama hasira ndo za aina hyooo ?!!!
Pole Sana!no Bora kuachana kuliko mateso
Uvumilivu uliponishinda nilitoka, niko poa maisha yanaenda,, na vilikuwa vipigo haswa, vya kunyofoa nywele na kucha,, chuki niliyokuwa nayo kwake ni kubwa mno muda unaponya niko ok,
 
Kuna ile situation mpo ndani mnapishana kauli kidogo na ukute nyuma kidogo mlikuwa na mgogoro wa kimapenzi then mwanamke anaropoka “Hata hii mimba siyo yako,wakuweka mimba utakuwa wewe??”, ktk hali kama hii unategemea nini!!!

Ni mambo yapo kwenye jamii na miaka yote yamekuwepo ukipatana na mwenye roho nzuri shukuru dunia mchanganyiko wapo wenye roho mbaya wapo wenye roho nzuri.
Mungu ajaalie nisifikie huko aseeehhh

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Nonsense. Wewe ndo wakwanza kuishi na mke? Ukimpiga unapata faida gani? Kwanini msiachane? Mtu kama wewe tayari you're prepositioned kufanya ukatili wa namna hii.
Msimamo Wangu ni kwamba popote pale nikimkuta mwanamke analia Sitamuonea huruma hadi pale nitakapojua story ya upande wa pili.

Believe this gender at your own peril, they always playing victim cards. Her husband cannot just wake up and do such atrocities things to her unprovoked, she must have done something that annoyed him.
I never ever pity this gender.
 
Nonsense. Wewe ndo wakwanza kuishi na mke? Ukimpiga unapata faida gani? Kwanini msiachane? Mtu kama wewe tayari you're prepositioned kufanya ukatili wa namna hii.
Yaani Tena mjamzito kabisaa!Mungu atupe macho ya rohoni aseehhh...nimeshangaa mnooo

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Mateso aliyokutana nayo huyu mwanamke ni makubwa mno, haijalishi makosa yake ila hakustahili kufanyiwa haya. Ndio shida ya mtu akikosa huruma na hofu ya Mungu ndani yake.
Exactly...Hakuna hofu ya Mungu ,mbaya zaidi mtoto amekufa ...huyu dada anahitaji kanselingi ya Hali ya juu!!!amepata shida sanaa

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Uvumilivu uliponishinda nilitoka, niko poa maisha yanaenda,, na vilikuwa vipigo haswa, vya kunyofoa nywele na kucha,, chuki niliyokuwa nayo kwake ni kubwa mno muda unaponya niko ok,
Asehehh!pole Sana my dear...mpk anakutoa kucha !Lazima umchukie maisha yote,pole Sana my dear!
Yaani huu ukatili sijui unatokana na nini

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Huyu dada kwa tathimini za haraka ataendelea kupigwa Sana,,,hicho kitendo Cha kupigwa hivyo halafu bado anamwita sijui Ochu,Mara ooh naogopa kuwa single mother,Mara najishusha atakuta siku moja huyo Ochu kamtia bisu la roho....tujifunze kusoma majira na nyakati
 
Back
Top Bottom