duuuuuh!!! bora mie sijasema!!!ha!.....hebu huko......nani amekwambia tunapenda wanaume wanaonuka kama beberu.....? mwanaume unatakiwa unukie marham ya kiume........sio unajipulizia kikobra huku hujaoga........kimdomo hujapiga mswaki.......sitaki.....
Kaka umenifurahisha sanaaaaaaaaaaaa!! Duh! yaani ungekuwa karibu ningekupa ofa ya Valuu moja loh! ni kweli kabisa hapo kwenye mashuka, na unakuta chumba kinanuka uvundo ile mbaya, ukirudi kwenye sox ndiyo usiseme, yaani sijui hawasikii kunata, kama mtu anaweza rudia kuvaa sox, underware na vest, inakuwaje? maana ukiangalia kwa bei ya chini kabisa ya hivyo vitu ni sh 2000/= na unakuta mtu anafanya kazi nzuri tu ambayo inamlipa lakini ndiyo hivyo.
Poleni na mishemishe za siku wanajamvi!
Hivi kwanini wanaume tunakuwa wachafu kiasi hiki?????? hii ni kero kubwa sio tu kwa yule mtu wa karibu na mhusika bali hata jamii kwa ujumla. Utakuta mtu mzima kikwapa ndo hicho kinatema 'ASIDI'; kule kwenye 'angle' ndo usiseme!!! ni noumer!
Hebu tujiulize, mwanaume anapaswa kuwa na nguo ngapi za ndani? boxa au vyupi na singland! hii ni kwa sababu hizi ni nguo muhimu sana na shida yote inaanzia hapo. utakuta mtu ana boxa moja au mbili akijitahidi sana. hii ni sifa kubwa ya kutosha kumfanya mtu anuke. Mwanaume msafi walau unatakiwa kuwa na ch*pi au boxa kuanzia kumi (10) na singland vilevile! hii ni kwa maana kwamba kila unapooga basi unabadili. sio mtu unaoga na unairudia mara tatutatu.... halaaaaa!
Nywele nywele nywele....... au vuzi kwa lugha yetu ile. wanaume wengine wana miili inayotoa harufu maana utakuta mtu mzima amefuga msitu! kote yaani chini huko na vikwapani ni noma....... kama unapenda kuwa na nywele hizi basi shart uwa msafi!!!! hakikisha unaoga vizuri na unakausha fresh ikiwezekana apply hata manukato kiasi basi. sio mtu unakuwa na ufundo wa nywele chafu na utategemea nini kitokee kama sio bonge la harufu chafu inayokera watu.
Wanaume tubadilike bwana..... utamkuta mkaka kaulamba lakini laiti ukamfunua utakimbia. Nawapa pole sana wale wanawake wanaokutana na hii shuruba ya wanaume wachafu, hasa wale ambao ni wachafu kupindukia na wanadiriki kuacha jukumu la kufua nguo za ndani ambazo ni kero kubwa kwa wake zao au madada wa kazi. Haipendezi hata kidogo mtu kuwa mchafu!
Mwanaume wa shoka hajisafi kama mwanamke....
Kwani hujui kwamba wanwake hupenda kile kijiharufu cha jasho la mwanaume..?
Na kwa taarifa yako hata zile nywele za kwapani na kunako kifanyio zina ladha yake katika mapenzi...
Ngoja waje wenyewe watakuambia.
Suala linalozungumziwa hapa ni usafi. Haijalishi umefuga vichaka nyuma na mbele, cha maana uvipalilie vizuri na kuvisafishaaaaaaa.
Kwa kawaida kuna kunuka na kunukia. Kinukacho kichafu; kisafi kinanukia. Wanaume wakijisafisha vizuri kale kaharufu ka kibeberu huwa kama manukato ila wasipojiswafi looooooooooooo kama choo cha mbuzi!
Ukikutana na mwenye kichaka, ukataka kuchezea mic usisahau tooth pick..
Mi mwanamke mwenye mivuzi au minywele kwapani, hamu huisha hapo hapo...
Kwa kweli inakera, na inahatarisha usalama kwa kuchubuana na kutoboa dawa ya penzi. Wanaume mnashauriwa muwe mnayatoa, maana ninyi ndio wavivu kuhudumia bustani
Mh... Mi nadhani ni nyie zaidi...
Mwanaume wa shoka hajisafi kama mwanamke....
Kwani hujui kwamba wanwake hupenda kile kijiharufu cha jasho la mwanaume..?
Na kwa taarifa yako hata zile nywele za kwapani na kunako kifanyio zina ladha yake katika mapenzi...
Ngoja waje wenyewe watakuambia.
usijitetee bwana.mimi naamini uchafu wa mtu ni uvivu na ni tabia.kama mzazi ukimfundisha mtoto wako majukumu ya usafi tangu akiwa mdogo haijalishi kama ni wa kike au wa kiume,huwa inasaidia.maana wapo wanaume ambao ni wasafi kupindukia
Chupi 10!? Kwani kufua nguo ya ndani kuna ugumu gani jamani! Kama mtu anatabia ya usafi, kwa maoni yangu chupi 3-4 zinatosha!
Kwani mwenzetu wewe unavaa chupi ngapi kwa mara moja? Ikichafuka unaifua au unaitupa?3-4??? Tu!!
Na unazitumia kwa muda gani jamani???
Maana hizo si ndani ya mwezi tu zimeshatanuka!
Labda za "mchina"!..Maana hizo si ndani ya mwezi tu zimeshatanuka!