Wanaume..... Uchafu au uvivu?

Wanaume..... Uchafu au uvivu?

Hii kitu imetulia balaa

Ujumbe umefika kama ulivyokusudiwa

Hongera ndg mwanzisha thread, pole kwa wadada mnaokutana na hayo mauzauza kunako faragha zetu zile.
 
Poleni na mishemishe za siku wanajamvi!
Hivi kwanini wanaume tunakuwa wachafu kiasi hiki?????? hii ni kero kubwa sio tu kwa yule mtu wa karibu na mhusika bali hata jamii kwa ujumla. Utakuta mtu mzima kikwapa ndo hicho kinatema 'ASIDI'; kule kwenye 'angle' ndo usiseme!!! ni noumer!

Hebu tujiulize, mwanaume anapaswa kuwa na nguo ngapi za ndani? boxa au vyupi na singland! hii ni kwa sababu hizi ni nguo muhimu sana na shida yote inaanzia hapo. utakuta mtu ana boxa moja au mbili akijitahidi sana. hii ni sifa kubwa ya kutosha kumfanya mtu anuke. Mwanaume msafi walau unatakiwa kuwa na ch*pi au boxa kuanzia kumi (10) na singland vilevile! hii ni kwa maana kwamba kila unapooga basi unabadili. sio mtu unaoga na unairudia mara tatutatu.... halaaaaa!

Nywele nywele nywele....... au vuzi kwa lugha yetu ile. wanaume wengine wana miili inayotoa harufu maana utakuta mtu mzima amefuga msitu! kote yaani chini huko na vikwapani ni noma....... kama unapenda kuwa na nywele hizi basi shart uwa msafi!!!! hakikisha unaoga vizuri na unakausha fresh ikiwezekana apply hata manukato kiasi basi. sio mtu unakuwa na ufundo wa nywele chafu na utategemea nini kitokee kama sio bonge la harufu chafu inayokera watu.

Wanaume tubadilike bwana..... utamkuta mkaka kaulamba lakini laiti ukamfunua utakimbia. Nawapa pole sana wale wanawake wanaokutana na hii shuruba ya wanaume wachafu, hasa wale ambao ni wachafu kupindukia na wanadiriki kuacha jukumu la kufua nguo za ndani ambazo ni kero kubwa kwa wake zao au madada wa kazi. Haipendezi hata kidogo mtu kuwa mchafu!


Umeuliza maswali ya msingi ila kwa hapa kwetu utaonekana unajifanya mzungu kwa kupenda usafi. Kwanza si heshima kwa mtu kunuka, na hawa watu inabidi wafungwe kwa kuchafua hali ya hewa kimakusudi. Wewe utapandaje daladala huku mdomo unanuka mavi? Kwa kweli tuna kazi ya kufanya jamani, na inabidi ipitishwe petition ili tumpelekee waziri wa afya ili wanukaji wote wafungwe.
 
Mwanaume wa shoka hajisafi kama mwanamke....
Kwani hujui kwamba wanwake hupenda kile kijiharufu cha jasho la mwanaume..?

Na kwa taarifa yako hata zile nywele za kwapani na kunako kifanyio zina ladha yake katika mapenzi...

Ngoja waje wenyewe watakuambia.

Chinekee...yeuwiiiii Gustavo! usafi muhimu sana hata kwa wanaume..!
 
Poleni na mishemishe za siku wanajamvi!
Hivi kwanini wanaume tunakuwa wachafu kiasi hiki?????? hii ni kero kubwa sio tu kwa yule mtu wa karibu na mhusika bali hata jamii kwa ujumla. Utakuta mtu mzima kikwapa ndo hicho kinatema 'ASIDI'; kule kwenye 'angle' ndo usiseme!!! ni noumer!

Hebu tujiulize, mwanaume anapaswa kuwa na nguo ngapi za ndani? boxa au vyupi na singland! hii ni kwa sababu hizi ni nguo muhimu sana na shida yote inaanzia hapo. utakuta mtu ana boxa moja au mbili akijitahidi sana. hii ni sifa kubwa ya kutosha kumfanya mtu anuke. Mwanaume msafi walau unatakiwa kuwa na ch*pi au boxa kuanzia kumi (10) na singland vilevile! hii ni kwa maana kwamba kila unapooga basi unabadili. sio mtu unaoga na unairudia mara tatutatu.... halaaaaa!

Nywele nywele nywele....... au vuzi kwa lugha yetu ile. wanaume wengine wana miili inayotoa harufu maana utakuta mtu mzima amefuga msitu! kote yaani chini huko na vikwapani ni noma....... kama unapenda kuwa na nywele hizi basi shart uwa msafi!!!! hakikisha unaoga vizuri na unakausha fresh ikiwezekana apply hata manukato kiasi basi. sio mtu unakuwa na ufundo wa nywele chafu na utategemea nini kitokee kama sio bonge la harufu chafu inayokera watu.

Wanaume tubadilike bwana..... utamkuta mkaka kaulamba lakini laiti ukamfunua utakimbia. Nawapa pole sana wale wanawake wanaokutana na hii shuruba ya wanaume wachafu, hasa wale ambao ni wachafu kupindukia na wanadiriki kuacha jukumu la kufua nguo za ndani ambazo ni kero kubwa kwa wake zao au madada wa kazi. Haipendezi hata kidogo mtu kuwa mchafu!

Sawa umeeleweka,lakin kuna warembo pia wazuriiiiii afu wananuka --------;ni kwann
 
Msalani??? Ukiona mtu amekuwa msafi kiasi hicho hadi anajiita msalani, lazima ujue itifaki imezingatiwa. Ila umesisitiza kitu kizuri kwa wasiojitambua.

msalani.. Natamani huu ungekuwa ujumbe maalumu kwa wenye tabia hyo wajirekebishee!

Na leo mmejisemea wenyeweee aaaa.. Bravooo man!

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
mbona mnachachua jina la mtoa mada?
 
Poleni na mishemishe za siku wanajamvi!
Hivi kwanini wanaume tunakuwa wachafu kiasi hiki?????? hii ni kero kubwa sio tu kwa yule mtu wa karibu na mhusika bali hata jamii kwa ujumla. Utakuta mtu mzima kikwapa ndo hicho kinatema 'ASIDI'; kule kwenye 'angle' ndo usiseme!!! ni noumer!

Hebu tujiulize, mwanaume anapaswa kuwa na nguo ngapi za ndani? boxa au vyupi na singland! hii ni kwa sababu hizi ni nguo muhimu sana na shida yote inaanzia hapo. utakuta mtu ana boxa moja au mbili akijitahidi sana. hii ni sifa kubwa ya kutosha kumfanya mtu anuke. Mwanaume msafi walau unatakiwa kuwa na ch*pi au boxa kuanzia kumi (10) na singland vilevile! hii ni kwa maana kwamba kila unapooga basi unabadili. sio mtu unaoga na unairudia mara tatutatu.... halaaaaa!

Nywele nywele nywele....... au vuzi kwa lugha yetu ile. wanaume wengine wana miili inayotoa harufu maana utakuta mtu mzima amefuga msitu! kote yaani chini huko na vikwapani ni noma....... kama unapenda kuwa na nywele hizi basi shart uwa msafi!!!! hakikisha unaoga vizuri na unakausha fresh ikiwezekana apply hata manukato kiasi basi. sio mtu unakuwa na ufundo wa nywele chafu na utategemea nini kitokee kama sio bonge la harufu chafu inayokera watu.

Wanaume tubadilike bwana..... utamkuta mkaka kaulamba lakini laiti ukamfunua utakimbia. Nawapa pole sana wale wanawake wanaokutana na hii shuruba ya wanaume wachafu, hasa wale ambao ni wachafu kupindukia na wanadiriki kuacha jukumu la kufua nguo za ndani ambazo ni kero kubwa kwa wake zao au madada wa kazi. Haipendezi hata kidogo mtu kuwa mchafu!
penye mstari: unaposema wanaume tubadilike inaashirie wewe pia ni mwanaume.
hapa kwenye nyekundu: sijajua unaanzaje kuwafunua hawa wanaume, na ukitafuta nini hasa, au wewe ni dokta wa hospitali?.
nauliza tu.
 
Hahaa, Mkuu jina lina uhusiano wa karibu sana na mmiliki (yale majina yenye maana) ''we are products of what we think and say/proffess''

Amezungumza kitu ambacho kwa wanaume wasiojitambua inabidi wajirekebishe. majumbani mashuka nayo ni balaa, wengine wanatamani kungekuwa na mashuka meusi ili wasifue mara kwa mara au shuka moja inalaliwa hadi inalalamika yenyewe kwa kunuka uvundo, Ishu ya mtu kufuga mikucha mikubwa na michafu nayo ni ya kuangalia. Kucha zinamsema mtu haraka sana.

wengine hata kubrush viatu pamoja mashoe shiners kibao lakini kiatu kinakaribia kubadilika rangi kwa kukosa kiwi. ndevu pia zisiponyolewa kwa wakati, nazo zinakuwa uchafu, ukimuona mtu j3 unadhani ni ijumaa kwa ndevu zilivyokaa. etc etc.

''Kujifunza ni mchakato, sio tukio la mara moja''
mbona mnachachua jina la mtoa mada?
 
Hahaa, Mkuu jina lina uhusiano wa karibu sana na mmiliki (yale majina yenye maana) ''we are products of what we think and say/proffess''

Amezungumza kitu ambacho kwa wanaume wasiojitambua inabidi wajirekebishe. majumbani mashuka nayo ni balaa, wengine wanatamani kungekuwa na mashuka meusi ili wasifue mara kwa mara au shuka moja inalaliwa hadi inalalamika yenyewe kwa kunuka uvundo, Ishu ya mtu kufuga mikucha mikubwa na michafu nayo ni ya kuangalia. Kucha zinamsema mtu haraka sana.

wengine hata kubrush viatu pamoja mashoe shiners kibao lakini kiatu kinakaribia kubadilika rangi kwa kukosa kiwi. ndevu pia zisiponyolewa kwa wakati, nazo zinakuwa uchafu, ukimuona mtu j3 unadhani ni ijumaa kwa ndevu zilivyokaa. etc etc.

''Kujifunza ni mchakato, sio tukio la mara moja''
ila ye anaitwa mlasani sio msalani
 
mwanaume wa namna hii huwa hana mpango na vidada wala kuangalia nani ana mtazama.bal huangalia zaid maisha yake na familia yake.ukiishi kwakuangalia wa2 utabak hvyohvyo.liv as u wish.
 
usijitetee bwana.mimi naamini uchafu wa mtu ni uvivu na ni tabia.kama mzazi ukimfundisha mtoto wako majukumu ya usafi tangu akiwa mdogo haijalishi kama ni wa kike au wa kiume,huwa inasaidia.maana wapo wanaume ambao ni wasafi kupindukia

MWANAUME ASIFIWI USAFI....ASIFIWA KAZI KULE KUNAKO,eti boxer kumi kwani mi fasion show au nataka kufungua duka...!we change hzo boxer zako halafu kaz hujui we unadhan utaitwa nan?MTAMBUZ hebu mjibu huyu kjana wako.
 
penye mstari: unaposema wanaume tubadilike inaashirie wewe pia ni mwanaume.
hapa kwenye nyekundu: sijajua unaanzaje kuwafunua hawa wanaume, na ukitafuta nini hasa, au wewe ni dokta wa hospitali?.
nauliza tu.

duh!!HUYU MSALANI KAINGIA CHA KIKE....HAH!HAH!TOKA NDUKI JEMBE WE WASEMINALI 2ACHE WA KAYUMBA SEC.
 
Wengi wachafu sana hawaogi wanarudia Boxa hawanawi mikono tabu tupuu
 
ha!.....hebu huko......nani amekwambia tunapenda wanaume wanaonuka kama beberu.....? mwanaume unatakiwa unukie marham ya kiume........sio unajipulizia kikobra huku hujaoga........kimdomo hujapiga mswaki.......sitaki.....

pleta km mshkaj msafi halafu bwabwa utamtakaaa...?ukjbu vzur bhas mtambuz yuko sahh.
 
penye mstari: unaposema wanaume tubadilike inaashirie wewe pia ni mwanaume.
hapa kwenye nyekundu: sijajua unaanzaje kuwafunua hawa wanaume, na ukitafuta nini hasa, au wewe ni dokta wa hospitali?.
nauliza tu.

JF haishi burudani!! Atueleze vizuri hizo chupi za wanaume huwa anazikagua wapi na yeye kama nani?
 
@Msalani wewe ni she au ni he? Ukinijibu hapo ndipo nitatoa comment yangu!
 
..Mwanaume msafi walau unatakiwa kuwa na ch*pi au boxa kuanzia kumi (10) na singland vilevile! hii ni kwa maana kwamba kila unapooga basi unabadili...
Chupi 10!? Kwani kufua nguo ya ndani kuna ugumu gani jamani! Kama mtu anatabia ya usafi, kwa maoni yangu chupi 3-4 zinatosha!
 
Hahaa, Mkuu jina lina uhusiano wa karibu sana na mmiliki (yale majina yenye maana) ''we are products of what we think and say/proffess''

Amezungumza kitu ambacho kwa wanaume wasiojitambua inabidi wajirekebishe. majumbani mashuka nayo ni balaa, wengine wanatamani kungekuwa na mashuka meusi ili wasifue mara kwa mara au shuka moja inalaliwa hadi inalalamika yenyewe kwa kunuka uvundo, Ishu ya mtu kufuga mikucha mikubwa na michafu nayo ni ya kuangalia. Kucha zinamsema mtu haraka sana.

wengine hata kubrush viatu pamoja mashoe shiners kibao lakini kiatu kinakaribia kubadilika rangi kwa kukosa kiwi. ndevu pia zisiponyolewa kwa wakati, nazo zinakuwa uchafu, ukimuona mtu j3 unadhani ni ijumaa kwa ndevu zilivyokaa. etc etc.

''Kujifunza ni mchakato, sio tukio la mara moja''

Kaka umenifurahisha sanaaaaaaaaaaaa!! Duh! yaani ungekuwa karibu ningekupa ofa ya Valuu moja loh! ni kweli kabisa hapo kwenye mashuka, na unakuta chumba kinanuka uvundo ile mbaya, ukirudi kwenye sox ndiyo usiseme, yaani sijui hawasikii kunata, kama mtu anaweza rudia kuvaa sox, underware na vest, inakuwaje? maana ukiangalia kwa bei ya chini kabisa ya hivyo vitu ni sh 2000/= na unakuta mtu anafanya kazi nzuri tu ambayo inamlipa lakini ndiyo hivyo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom