Muundo wa hii stori ti unainyima credibility kabisa ya kuaminika...Hata kama mwamamke angekuwa fyatu kiasi gani si rahisi azime simu siku tatu na sehemu yenyewe ni Mwanza na hata mama yake awe hana taarifa juu ya uwepo wa mtoto wake.Its obvious mume angempigia mama mkwe simu mara baada ya kumkosa mkewe na si baada ya siku 3 kupita.Hadithi za kitoto kama hizi ziundiwe jukwaa la watoto Mod natoa hoja
kama shigongo vile
Ni kweli tunajitahidi sana kuwahudumia hawa viumbe tena kwa gharama kubwa ili wajisikie vizuri lakini tunavuna STRESS.
kuwa uyaone,inaweza isiwe kweli lakini kuna vitu aina hiyo
wewe ni muongo!
My dear sikuwezi looh aaahhhaaaaaaa, I still love you . thanks!
Tatizo c kumegewa mke, tatizo nikuwa wanawake wengi huwa hawawakumbushi hao wanaume kutumia kinga...sasa mtu unaletewa magonjwa ndani na watoto ambao c wako, yawezekana ukoo wa huyo jamaa ni au wal
tunawashwa
Ukishindwa kufanya Kazi lazima usaidiwe.
kukunwa ndicho kinachofuata.
tunawashwa
Ndiyo na mkunaji inategemea yupo wapi? Ili apelekewe