Wanaume tutafute hela, wanawake wameongeza mahitaji yao

Mjanja M1

JF-Expert Member
Oct 7, 2018
3,696
12,416
Wanawake sasaivi wanataka P Bundle, yani Mwanamke akiingia Period apewe mazaga kama sehemu ya kumpooza siku zake.

20240130_164920.jpg


20240130_171042.jpg
 
Kama anakupa kitumbua atleast mara tatu kwa mwezi mnunulie huo mkate tena ule unaokaa silesi nyingi tofauti na hapo minya
 
Wait a min, kwan hii ni kitu mpya? Way back even b4 sijamuoa mama chanja mbona nlikua nampea hii pack kawaida sana.
Besides, it foesn cost a lot. Ni kama 10 to 20k. I think hio sio kitu once per month kwa mtu anaekuhali kwa vingi.
 
Back
Top Bottom