Wanaume, tupeni majibu hapa...

Wanaume, tupeni majibu hapa...

gfsonwin

JF-Expert Member
Joined
Apr 12, 2012
Posts
18,272
Reaction score
20,714
Hivi kwanini wenzetu nyie si wepesi hata kidogo wa kukiri makosa yenu na kuomba msamaha? Kwanini mara nyingi huwa mnatafuta means ya kujusfty makosa kuliko kuomba msamaha? je ni ubabe ama ni aibu ama mnahisi kufanya hivyo ni kujishusha hadhi yani kutoka kuwa mwanaume na kuwa mtu mwingine?

je na kwa wale mnaokiri na kuwaangukia wake zenu kwa samahani, je wake zenu wamewahi kubadili heshima yenu ama hata kukudharau?

leo akina mama tukae tuwatupie maswali kwa kila hoja watakazo leta hadi tujue nini ni nini.

nawasilisha.
 
"Heri kuishi juu ya paa la nyumba, kuliko kuishi na mwanamke mgomvi"
sehemu ya nukuu toka katika vitabu vitakatifu..
 
Wanaume wa JF mko wapi? tunawasubiri mtusaidie kwa nini samahani inakuwa ngumu kana jiwe?
ila mie naweza sema nina bahati naombwa msamaha pale anapokosea lol
wanaumee were are you?
 
"Heri kuishi juu ya paa la nyumba, kuliko kuishi na mwanamke mgomvi"
sehemu ya nukuu toka katika vitabu vitakatifu..

so womn always ni wagomvi kwa mujibu wa vitabu hvyo?
 
"Heri kuishi juu ya paa la nyumba, kuliko kuishi na mwanamke mgomvi"
sehemu ya nukuu toka katika vitabu vitakatifu..

kama matone yanayovuja katika nyumba ni sawa na mwanamke mkorofi katika nyumba kwikwikwikwikwi
 
wanaume wa jf mko wapi? tunawasubiri mtusaidie kwa nini samahani inakuwa ngumu kana jiwe?
ila mie naweza sema nina bahati naombwa msamaha pale anapokosea lol
wanaumee were r u?


aisee! you are lucky ila kuna wanaume ni wabish wasamahan na wengine wanadai eti kuish na mwanamke mgomvi ni bora uish kwenye paa. yaani men .................goja waje niwaskie hapa.
 
aisee! you are lucky ila kuna wanaume ni wabish wasamahan na wengine wanadai eti kuish na mwanamke mgomvi ni bora uish kwenye paa. yaani men .................goja waje niwaskie hapa.
Sio wote. Just like kwa wanawake kuna ambao wanakiri makosa yao
(kwa dhati au kwa unafiki) na wengine wanakomaa na uongo au kiburi.
 
Back
Top Bottom