Wanaume tuoe kwa sababu...

"ndoa ni kwa wanaume wenye akili timamu tu"

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Trust me...
Wanaofanya dunia iende na hasa kidigitali Hawana ndoa...

Eicher zimekua mkombozi wa safari za Posta - Tegeta/G.Mboto/Mbagala, sasa yule mkugunduzi wa hii idea ya utengenezaji Eicher akafanya Wana Dar kupunguziwa tatizo la safari HAJAOAAA.

Hivi Kati yako na Dangote aliye ajri maelfu ya watu NANI HANA AKILI?

#YNWA
 
Ha ha ha yaani mwanaume unatoa vingi ila wewe unapewa vichache. Huo ni unyonyaji

Mwanaume unatoa dushe+mbegu+pesa+ basic needs zote kwa ke ila ke yeye anatoa papuchi tu na kuzaa mtoto wenu wote. Maana hata mtoto anakupa nusu tu na nusu ingine inabaki kwake
Hao watoto mwisho wa siku wakitoboa, mama anawatia sumu na mistari yao ya nani kama mama. Mtoto akija anampa mzee buku ten maza anapewa laki. Sasa hapo kuna faida gani.

Hao watoto ni back up plan ya mwanamke sio mwanaume. Mwanaume mwanzo mwisho wa maisha yake ni kujisimamia.Wengi uzeeni hutengwa na watoto na wake zao kidesign.

Hii ipo sana. So mwanaume apambane but 80% ya anachopata ajiwekee akiba ya uzee mke asijue hata kitu. Ukizeeka unakuwa busy na ratiba zako wacha watoto walee mama yao wewe unakuwa hauna time wanashangaa mzee anadunda 90+ years yupo fiti na haombi hata mia.
 
Hao watoto mwisho wa siku wakitoboa, mama anawatia sumu na mistari yao ya nani kama mama. Mtoto akija anampa mzee buku ten maza anapewa laki. Sasa hapo kuna faida gani.

Hao watoto ni back up plan ya mwanamke sio mwanaume. Mwanaume mwanzo mwisho wa maisha yake ni kujisimamia.Wengi uzeeni hutengwa na watoto na wake zao kidesign.

Hii ipo sana. So mwanaume apambane but 80% ya anachopata ajiwekee akiba ya uzee mke asijue hata kitu. Ukizeeka unakuwa busy na ratiba zako wacha watoto walee mama yao wewe unakuwa hauna time wanashangaa mzee anadunda 90+ years yupo fiti na haombi hata mia.
Umemaliza kila kitu mkuu. Yaani kila kitu 100%
 
Hao watoto mwisho wa siku wakitoboa, mama anawatia sumu na mistari yao ya nani kama mama. Mtoto akija anampa mzee buku ten maza anapewa laki. Sasa hapo kuna faida gani.

Hao watoto ni back up plan ya mwanamke sio mwanaume. Mwanaume mwanzo mwisho wa maisha yake ni kujisimamia.Wengi uzeeni hutengwa na watoto na wake zao kidesign.

Hii ipo sana. So mwanaume apambane but 80% ya anachopata ajiwekee akiba ya uzee mke asijue hata kitu. Ukizeeka unakuwa busy na ratiba zako wacha watoto walee mama yao wewe unakuwa hauna time wanashangaa mzee anadunda 90+ years yupo fiti na haombi hata mia.
Wenye kusikia na wasikie
 
Msaafu au bible ndio iwe mahari. Ili tuweke baraka na msingi wa MUNGU katika mahusiano.

Sasa nyie mnataja mahari ya ng'ombe halafu mkienda kuishi kama ng'ombe mnalia.....
Mahali ndio chanzo cha yote haya mkuu unataka kusema ndoa ya mahari bible na msaafu haina changamoto
 
Trust me...
Wanaofanya dunia iende na hasa kidigitali Hawana ndoa...

Eicher zimekua mkombozi wa safari za Posta - Tegeta/G.Mboto/Mbagala, sasa yule mkugunduzi wa hii idea ya utengenezaji Eicher akafanya Wana Dar kupunguziwa tatizo la safari HAJAOAAA.

Hivi Kati yako na Dangote aliye ajri maelfu ya watu NANI HANA AKILI?

#YNWA
Umilionea ni kipimo cha akili!? Mwenye highest iq ulimwenguni ni bilionea wa ngapi?

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Ki ubinadamu Mwanaume unayekataa kuoa kwa visingizio ambavyo havina mshiko unajiona uko sawa kweli
Sasa ndio nataka kuujua huo "USAWA"

Kwahiyo Hawa viongozi wakubwa, wasanii, Wana michezo na matajiri ambao hawajao HAWAKO SAWA?

Huo USAWA unapimwaje?

Na ndoa inakuaje ni kipimo chake?

#YNWA
 
Kwani mnaposema "Mwenye akili" mnatumia qualitative na/au quantative zipi ku Describe hiyo akili?

#YNWA
Kumbe hata "mwanaume mwenye akili" humjui ndio maana ukaanza kunitajia dangote..

Siku nyingine uulize kwanza..

Haya we ulipotaja dangote ulitumia qualitative au quantitative zipi?
 
Back
Top Bottom