ntazana ntazana
JF-Expert Member
- Sep 18, 2021
- 1,708
- 3,020
Acha roho mbaya!Ndoa ni muhimu ila iwe na win win. Sio upande mmoja unanyonya upande mwingine
Mtoto wa CEO wa CRDB kimei harusi yake ililetwa humu. Nakumbuka alikuwa anamuoa binti wa mwenye sheli za victoria. Hiyo ni mojawapo ya ndoa yenge win win
Ama ndoa ya beckham na victoria enzi zao. Ndoa ina win win ama beyonce na jay z
Ila ndoa za mmoja hana kitu ila anataka apokee tu kwa mwenye kitu hiyo ni ndoa ya kinyonyaji