ushindani wa namba umekuwa mkubwa sana matokeo yake wakina dada na wakina mama wamemua kutafuta plan B nayo si nyingine ni kutuchawia,tunarogwa sana ,tunalishwa vitu vya ajabu,wateja wakubwa wa waganga ni hawa wanawake unadhani wanafuata nini tunarogwa sana
ushindani wa namba umekuwa mkubwa sana matokeo yake wakina dada na wakina mama wamemua kutafuta plan B nayo si nyingine ni kutuchawia,tunarogwa sana ,tunalishwa vitu vya ajabu,wateja wakubwa wa waganga ni hawa wanawake unadhani wanafuata nini tunarogwa sana
Wanawake karibu wote wanaloga, kuanzia walokole hadi mahouse girls. Ni hatari tupu.
Wanawake karibu wote wanaloga, kuanzia walokole hadi mahouse girls. Ni hatari tupu.
Mngekuwa mnalogwa sana wengi wenu mngekuwa mmetulia na wake/wapenzi wenu bila mbwembwe za nyumba ndogo na michepuko kila mahali.
Hivyo vitu mnaweza mkawa mnalishwa kweli ila vitakuwa havifanyi kazi,au pengine mmekomaa kiasi kwamba hamlogeki tena. Maana mtu hawezi kuwa na mke aliyemloga bado akamtafutia nyumba ndogo, nyumba ndogo nae amloge na bado akatafuta na mchepuko mwingine.
uchawi unazidiana sana ,hizo nyumba ndogo ndio zinaroga sana kuliko wake wa ndoa ,usione mtu anakimbiafamilia ukadhani kapenda jujuMngekuwa mnalogwa sana wengi wenu mngekuwa mmetulia na wake/wapenzi wenu bila mbwembwe za nyumba ndogo na michepuko kila mahali.
Hivyo vitu mnaweza mkawa mnalishwa kweli ila vitakuwa havifanyi kazi,au pengine mmekomaa kiasi kwamba hamlogeki tena. Maana mtu hawezi kuwa na mke aliyemloga bado akamtafutia nyumba ndogo, nyumba ndogo nae amloge na bado akatafuta na mchepuko mwingine.
Na tutawaloga sana mpaka mshike adabu..........mmezidi.........logaa wote..........
mtaua watoto jamani imaginewe ndio ungekuwa mama mwenye nyumba mumeo anarogwa hivyo na mchepuko ungejisikiaje
Daaah! Na Mimi umeniloga waifu? Unakosa nini kwangu mpaka uniloge? Siamini, huu ni utani najua