Amekujibu bado hajakupenda, ameweka room kwamba kama utaendelea kujitahidi atakupenda!
Wanawake wanachukua muda sana kuja kukubali na aanze kukutafuta yeye, wewe komaa tu.
Hatua ya kwanza ni yeye kukubali kuwa anapokea simu yako, hakikisha unaweka ratiba na hauimiss, yaani unapiga asubuhi kuulizia ameamkaje, mchana anaendeleaje (amekula n.k), usiku kabla ya kulala!
Baada ya wiki 2 au 3 za kupiga kila siku, acha kupiga kama siku 2, siku ukipiga akakuuliza kwa nini hujanipigia ujue huyo tayari ataingia, au yeye mwenyewe anaweza kukupigia kuuliza kwa nini hujampigia.
From there ujue taratiibu unamaliza!
Otherwise ungekuwa vizuri kifedha ungeanza kumtoa toa mara kwa mara mnaenda maeneo ambayo mtakuwa ninyi wenyewe, mnaongea mara kwa mara ana kwa ana, hii inarahisisha kuzoeana kwa haraka!