mamaafacebook II
JF-Expert Member
- Aug 16, 2016
- 2,513
- 3,533
Huyo babe wako ndio hafai kabisaBabe mimi sitokubadilishia kitasa nikaribishe kwako.
Huyo babe wako ndio hafai kabisaBabe mimi sitokubadilishia kitasa nikaribishe kwako.
Kaaah mchumba gani ulienipa? Ongea tu usijalNikisema hapa mchumba wako wa jf ataona
Nishampigia alichonijibu bora hata niombe urafiki kwa binti wa kiromboMkuu kama kuna mtu umemfanyia hivo jishushe viginevyo machozi yake hayatokuacha salama!
Pole we pengine unstahil kutokana na ulichofanya me sio mromboNishampigia alichonijibu bora hata niombe urafiki kwa binti wa kirombo
Kuna mdau hapo juu kasema na yeye ni mhanga wa kitu kama hichi ndiyo huyo nimemmaanisha.Pole we pengine unstahil kutokana na ulichofanya me sio mrombo
Anhaaa sio mbayaKuna mdau hapo juu kasema na yeye ni mhanga wa kitu kama hichi ndiyo huyo nimemmaanisha.
Mbona avator zetu zinafanana nani kamuiga mwenzie?Haaaa haaa me haka sifanyagi hizo
Babe mimi sitokubadilishia kitasa nikaribishe kwako.
Kaaah mchumba gani ulienipa? Ongea tu usijal
Una gundu hahahahWw tena ndio usiongee jamaa yako alinipiga mkwara
Teeh me sipendi kuwekwa roho juu si useme nijueDuniani hamna siri kbs
Una gundu hahahah
poleNingekuwa sina gundu ungekuwa unaenda clinic miezi hii...
Hata nyie hamsomeki, utampenda mwanaume utajitoa kwa kila hali utaplay a wifey part, yan utajtahidi kila unaloweza atakachokuja kukulipa ni Mungu anajua
Hapo umekaa mda mrefu unajua huyo ndio husbad to be wako mwenyewe, unakataa watu kibao kisa yeye mmoja mwisho wa siku hakuoi vile vile tuhurumianeni!