Nokia83
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 24,646
- 44,227
Unaguna eeeh uko poa?
Naww unajitoaga?!
Unaguna eeeh uko poa?
Nisijitoe kisa nn? Unajitoa s unakua umependa banaa ati mapenzi upofuNaww unajitoaga?!
Nisijitoe kisa nn? Unajitoa s unakua umependa banaa ati mapenzi upofu
HahahhaWizi mtupu....cjaona wa kujitoa hapo
Kuna kitu ulikuwa unataka tuHahahha
Kitu gani sasa maana unanisemea kama unajua vileKuna kitu ulikuwa unataka tu
Nikisema hapa mchumba wako wa jf ataonaKitu gani sasa maana unanisemea kama unajua vile
Hakika ulichokiandika ndo kimenitokea, daah mwanaume sio mtu mwema wamenifanya niyachukie mapenz na kutokuamin kupendwa bado kupo,Hata nyie hamsomeki, utampenda mwanaume utajitoa kwa kila hali utaplay a wifey part, yan utajtahidi kila unaloweza atakachokuja kukulipa ni Mungu anajua
Hapo umekaa mda mrefu unajua huyo ndio husbad to be wako mwenyewe, unakataa watu kibao kisa yeye mmoja mwisho wa siku hakuoi vile vile tuhurumianeni!
Always kupotea njia ndio kujua njia hata usiyachukie mapenzi we ona tu aliewako hajakuja bado atakuja kwa wakati sahihi kabisaHakika ulichokiandika ndo kimenitokea, daah mwanaume sio mtu mwema wamenifanya niyachukie mapenz na kutokuamin kupendwa bado kupo,
Nilishamsamehe kitambo,sasa naendelea na maisha yangAlways kupotea njia ndio kujua njia hata usiyachukie mapenzi we ona tu aliewako hajakuja bado atakuja kwa wakati sahihi kabisa
Ndo ilivyo tuwasamehe tu
Habari wana jf,
Kuna huu usemi upo sana kwenye mitandao ya kijamii na mtaani "kila nikipata funguo za maendeleo kuna bwege anabadilisha kitasa"
Binafsi mimi huu usemi hua unanigusa sana hasa nikikumbuka asilimia kubwa ya maendeleo yangu kua hafifu yasiokua kwa kasi wanawake wamehusika kwa kiasi kikumbwa sana, unaweza usiwe unahonga sana ila kuna zile za kuwatumia/kuwapa nauli waje eneo la tukio na vimizinga vingine vidogovidogo, na kama sio home basi gest nako pia unalipia, hua tunaziona ni viela vidogo lkn ukipiga hesabu ni ela nyingi kiasi chake,
Mimi ni mwadhirika mmojawapo wa hili, ukiacha hao wa mtaani, kuna wawili niliwahi kuishi nao kwa nyakati tofauti, mmoja alikua anafumua kibubu changu kwa chini anaiba bila mi kujua hadi kuna kujua keshachota sana,
Mwingine alifikia hata kutengeneza tukio la wizi na marafiki zake wakaniibia zaidi ya ml 5 nilikua nakusanya ya kununua kiwanja.
Kifupi ingekua ni nyumba najenga ningekua na mjengo wa zaidi ya ml 50.
Najua haya majanga ya kubadilishiwa "vitasa" na wanawake ni ya wanaume wengi,
Huu usemi nimeutafsiri kwa style hii, wanaume wenzangu mnaguswaje na huu usemi kwa tafsiri yangu?
Waweza sema jinsi gani ulivyobadilishiwa "kitasa" na mpenzi au wapenzi wako.
Kwa jinsi ulivyonisema ngoja nimpigie simu yule binti anisamehe turudiane.Hata nyie hamsomeki, utampenda mwanaume utajitoa kwa kila hali utaplay a wifey part, yan utajtahidi kila unaloweza atakachokuja kukulipa ni Mungu anajua
Hapo umekaa mda mrefu unajua huyo ndio husbad to be wako mwenyewe, unakataa watu kibao kisa yeye mmoja mwisho wa siku hakuoi vile vile tuhurumianeni!
Mkuu timu chaputa nn,samahan lakinMm kuhonga mtanisamehe ukionja buku langu pika sadaka
Babe mimi sitokubadilishia kitasa nikaribishe kwako.Ndio maana mimi nakuwa makini sana kwny issue ya wanawake
Hilo ndio kubwaNilishamsamehe kitambo,sasa naendelea na maisha yang
Mkuu kama kuna mtu umemfanyia hivo jishushe viginevyo machozi yake hayatokuacha salama!Kwa jinsi ulivyonisema ngoja nimpigie simu yule binti anisamehe turudiane.
Kama umepiga ramli maisha yangu