Wanaume tujitafakari sana

Wanaume tujitafakari sana

Jitahidi uirudishe hiyo 80K kwa njia nyingine. Mfano mimi nikitumia hela kwenye starehe kama hizo kesho yake napambana nairudisha yote au angalau nusu yake. Majuzi nilikuwa na pisi moja ikanigharimu sana but now nishairudisha yote kwenye akiba.
 
Jf watu wanajikutaga Wana pesa maisha mazuri ,yaan mwanzo mwisho wanamkandia jamaa kuumia kisa kaspend 80k dah hivi kwa maisha gan tulio nayo watz had mkejel 80k?

Wabongo kwa sifa Ni shida kutana nae live utacheka had ufe ,hiz fake I'd zinawastirisha Sana watu ndio maana kujigamba Kama kote.
Umeandika kwa makasiriko mkuu. Kijana kajitutumua kuishi maisha yasiyo yake ndo maana 80k imemuumiza ila kiukweli kabisa ni hela ndogo kutumia na baby na haikua na haja yeye kuitumia hela hiyo wakati kipato chake bado hakimruhusu kufanya matumizi ya hivyo.

Halafu mwanaume kutumia hela kwa baby ni kawaida kama anaona hawezi bora ajibanze CHAPUTA kwa muda akipata hela atafute binti
 
Jitahidi uirudishe hiyo 80K kwa njia nyingine. Mfano mimi nikitumia hela kwenye starehe kama hizo kesho yake napambana nairudisha yote au angalau nusu yake. Majuzi nilikuwa na pisi moja ikanigharimu sana but now nishairudisha yote kwenye akiba.
Na huo ndio uanaume. Ukitumia ukipata hasira pambana urudishe. Sasa kijana kutumia anataka na akishatumia anajuta anaona kama katupa hela
 
Jf watu wanajikutaga Wana pesa maisha mazuri ,yaan mwanzo mwisho wanamkandia jamaa kuumia kisa kaspend 80k dah hivi kwa maisha gan tulio nayo watz had mkejel 80k?

Wabongo kwa sifa Ni shida kutana nae live utacheka had ufe ,hiz fake I'd zinawastirisha Sana watu ndio maana kujigamba Kama kote.
Kwahio nkikutana na ww ntacheka hadi nife?

Enewei, mwamba yuko sawa kulialia kisa katumia 80K kwa siku mbili, vivyo hivyo wanaopingana nae kwa kuona jamaa kutumia pesa ndogo pia wako sawa kwa upande wao coz hauna uhakika kuwa wanapretend au n kweli wanazo...

Ww relax, changia kilichopo akilini mwako, then kaa kwa kutulia.

Mambo ya fake ID's na maisha ya wana JF ata yasikuumize kichwa mkuu.
 
Umeandika kwa makasiriko mkuu. Kijana kajitutumua kuishi maisha yasiyo yake ndo maana 80k imemuumiza ila kiukweli kabisa ni hela ndogo kutumia na baby na haikua na haja yeye kuitumia hela hiyo wakati kipato chake bado hakimruhusu kufanya matumizi ya hivyo.

Halafu mwanaume kutumia hela kwa baby ni kawaida kama anaona hawezi bora ajibanze CHAPUTA kwa muda akipata hela atafute binti
Hahaha acha kurahisisha mambo mkuu. Hakuna mbadala wa mbususu asee..

Japo nimesome kiumeni 100%, ila chaputa haijawahi kunibariki kabisa.
 
Hahaha acha kurahisisha mambo mkuu. Hakuna mbadala wa mbususu asee..

Japo nimesome kiumeni 100%, ila chaputa haijawahi kunibariki kabisa.
Maisha sio magumu kiasi hicho mkuu.
Inaonekana kwa kipato chake 80k ni nyingi kutumia kwa mwanamke. Sasa kwanini amuumize kiti kwa kumfurahisha shetani?
Afanye mambo rahisi tu, asitumie pesa yake aingie CHAPUTA akizipata nyingi atakula wadada tu.
 
Maisha sio magumu kiasi hicho mkuu.
Inaonekana kwa kipato chake 80k ni nyingi kutumia kwa mwanamke. Sasa kwanini amuumize kiti kwa kumfurahisha shetani?
Afanye mambo rahisi tu, asitumie pesa yake aingie CHAPUTA akizipata nyingi atakula wadada tu.
Mkuu una mawazo mazuri sana. Kijana azingatie ushauri wako hakika hatokuja kulia lia tna
 
Wakuu habari..
Nawaza nilivyo spend kwa huyu msichana lkn at the end I got nothing.
Msichana nimemrushia nauli,kaja kwang kakaa siku 2 tumefanya mapenzi katumia hela,kaondoka nimempa nauli..
Almost nimetumia zaidi ya 80000 kwa siku mbili..nawaza nachoka
Hii pesa ningeisave je? Au familia yang ingefaidi km ningewapa..
Maan natafakari apa nishafany mapenzi lkn sijaon nilichopata kabis zaid ya kuanz kuwaza hela yangu..afu msichana mwenyew sina naye future kabis
Wanaume mnatumia mbinu gani kutospend sna kwa mademu?
Ni kuamua kuacha tu ndiyo mbinu kubwa,kua na moyo wa kupuuzia tamaa

Ukiacha ngono za hovyo unakua umepunguza nusu ya matatizo yako ya kipato na kiroho
 
Sasa mzee una lalama 80k kweli... hii si pesa ya bia usiku mmoja... apo endelea kutafuta pesa tu
 
Ni kuamua kuacha tu ndiyo mbinu kubwa,kua na moyo wa kupuuzia tamaa

Ukiacha ngono za hovyo unakua umepunguza nusu ya matatizo yako ya kipato na kiroho
Mkuu kuna ngono za hovyo halafu kuna genye ooh. Genye zipogo tu. Halafu anaonekana sio mtu wa ngono za hovyo ni vile tu kipato hakijamkalia sawa
 
Unatutia aibu mkuu, unalalama 80k, wakati hiyo no hela ya hotel usiku mmoja Tu??
Garama za chini kulala na mwanamke siku 2 asiyetoka nje ya dar:

Uber 20,000 kwenda na kurudi
Chakula 30,000 siku mbili
Vinywaji 20,000 kama atakunywa savana
Hotel 60,000 za bei rahis siku 2
Akiondoka unampa hata 20,000

Hii ni low bajeti kabisaaaaaa
iki kinywaji cha savana kiukweli uwa naumia nikimnunulia mtu wakat mm mwenyewe apo maybe nakunywa serengeti lite
 
Hicho ulichokipata kwa mtoto wa watu ungekipata kwenye mkono wako au kwa dada zako mamaako kwa leo nitamtoa ila ukirudia huu ujinga namuweka siku nyingine
 
iki kinywaji cha savana kiukweli uwa naumia nikimnunulia mtu wakat mm mwenyewe apo maybe nakunywa serengeti lite
Wanaume mmeumbwa mateso mkuu.
Kuna kipindi nilikua nakunywa pombe kali tu. Sasa muda wa kuagiza mlipa bili alikuaga na mdomo balaa. Utasikia unaagiza pombe ya laki 2 huna hata kazi ukipata kazi si mshahara wote utaishia kwenye pombe .
 
Jf watu wanajikutaga Wana pesa maisha mazuri ,yaan mwanzo mwisho wanamkandia jamaa kuumia kisa kaspend 80k dah hivi kwa maisha gan tulio nayo watz had mkejel 80k?

Wabongo kwa sifa Ni shida kutana nae live utacheka had ufe ,hiz fake I'd zinawastirisha Sana watu ndio maana kujigamba Kama kote.

Jf kila mtu ana degree km sio masters
Jf kila mtu ana ndinga .
Jf kila mtu ana mjengo.
Jf kila mtu anaspend weekend na watoto wazur kidimbwi beach ,The element,sea breeze ,
Yaan ukisikiliza kelele za jf unaweza waza kuwa pengine wewe ndie maskin wa mwisho hapa jf.

Alafu haya maisha hatupo sawa mwingine 80k Ni pesa anayolipwa mwisho wa mwez ,mwingine hiyo Ni vocha kazin kwake ,lakin huyu wa 80k kuspend hiyo pesa kwa cku mbil kwake lazima kiwe kilio Sasa nashangaa watu mnabeza.

Mwenye kipato Cha laki moja hawez honga Zaid ya ten na mwenye kipato Cha kuanzia m1 na kuendelea nae hawez honga ten bal kuanzia 100k Sasa tusibezane .

Kwa jinsi mleta mada alivyoongea kwa uchungu kwake hiyo Ni pesa ndefu Sana pengine kuliko hiyo milion ulionayo wewe.

Achen maisha ya kuigiza watanzania wengi Ni maskin wa kutupwa ,mdomo na usmart ndio vinatustiri hata humo njian .
Unakutana na bint kaulamba balaa Ila kwenye pochi yake Hana hata buku tano vocha za kuombeleza huku anamilik iPhone ,fake fake fake kwa kila kitu
Sio kubeza Wala kujikuta pesa ni yake starehe ni yake Sasa kwanini aje alalamike huku ingali anajua Kila mtu anamtizamo wake kuhusu starehe n.k pia huku kipato Cha Kila .mtu nitofauti ......mwisho wa siku ukiona analalamika jua amezidi kiwango chake Cha matumizi
 
Unatutia aibu mkuu, unalalama 80k, wakati hiyo no hela ya hotel usiku mmoja Tu??
Garama za chini kulala na mwanamke siku 2 asiyetoka nje ya dar:

Uber 20,000 kwenda na kurudi
Chakula 30,000 siku mbili
Vinywaji 20,000 kama atakunywa savana
Hotel 60,000 za bei rahis siku 2
Akiondoka unampa hata 20,000

Hii ni low bajeti kabisaaaaaa
Anakumbuka shuka kumekuchaa...jana nimekaa sehemu nanyonya zangu bia nna kama elfu hamsini kaja mtoto mmoja wa moto anajinunulia bia kajipenyeza wee kaanza nsemesha nikamnunulia round moja nikamkwepa nlijua tu nikimwendekeza gharama zitakuwa juu ijapokuwa ningeenda kumpasua ila ningeingia loss.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom