Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 77,080
- 165,194
Nashindwa kumblock kwakua ninapotaka kuongea mtoto lazima nimpigie yeye.
Sorry, kwanini hauishi na mwanao? Ana umri gani?
Nashindwa kumblock kwakua ninapotaka kuongea mtoto lazima nimpigie yeye.
Hapana hapa unalea tatizo kwa makusudi au bila kujua, tafuta njia nyingine ya kuwasiliana na mwanao
Muachie huyo mtoto endelea na maisha yako, mtoto akikua atakutafuta tu.
Kumfuatilia ndio kunampa kichwa cha kukutukana.
Ukikaa kimya atarudi kwenye sense zake.
Si Ndio Hapo Bhanaa.. Amtaje Tuu!!Hiyo title tu, nikajua tumeshaharibu mahali. Kumbe ni jamaa mmoja tu. Hebu mtaje kabisa, ili tumfute kwenye group letu la wanaume kule whats-app. Haiwezekani atuaibishe hivi.
Pole sana.
Nashindwa kumblock kwakua ninapotaka kuongea mtoto lazima nimpigie yeye.
Tena akukome shwain kabisa.....:wink:
Matatitizo yalikuwemo zamani toka kwenye mahusiano yenu, bali hukutaka kuyaona au kuyapa kipaumbele. Moving forward, nyinyi nendeni tena ustawi wa jamii mpangiwe zamu za kuishi na mtoto au kutembeleana. Jingine, ni kuwa liweke wazi huo usumbufu wake, ningekuwambia ubadili namba au umblock lakini kwa ajili ya mtoto mwache kwanza.
Hivi ikituma ujumbe humu ndo bei iko chini kuliko kumtumia yeye kwenye simu yake?..nachojua hapa ni gharama kubwa kuliko sms ambayo ingeingia moja kwa moja kwenye simu yake.
Binafsi naona hata wewe sio mke uvumilivu kwasababu uvumilivu wako unaupimia kwa miaka ya ndoa si kwa kiwango chako cha umri. Namshauri mwanaume.mwenzangu huyo uliyemlenga ujumbe huu "ASIKUJIBU CHOCHOTE" ila akupe.miaka 7 hiyo hiyo..uishi njia zako zote unazozitaka..km MUNGU atawaweka hai, alete mrejesho. nadhani itakuwa nafasi nzur sasa yakujipima busara yako..miaka saba iliyopita..ila kama hutoshindana na nature..basi haya yatakuwa sehemu is majibu yako; 1. Nisamehe ulikuwa ujana,2. Kumbe sikujua km kuna wanaume wabovu zaidi yako 3. Najuta sn .na majibu ambayo kitaalamu tunayaita "negation" ila ninae muhurumia sn ni mwanao atakapoingia mikononi kwa mama wa kambo mwenye roho nyepesi km yako..mwisho wa siku mwanao atachukia wanawake wote kwa ukatiri..kumbe chanza ni wewe kuwa ni mihemko...." AKIRI ZA KUAMBIWA ONGEZA NA ZAKO by horn jk"
Kisa cha kuja kunitukana hapa ni nini? sasa Dawa yako najiua tuone utafaidika nini.....Mtakao baki duniani siku ya uchaguzi chagueni Lowasa, mwambieni kura moja imepotea kizembe kabisa
wanawake wa dizain yako Ni kazi Sana kuwahendo...
Trust me....
By the way,huyo jamaa anakupenda Sana...hujajua Tu...
Toka lini pwachaga wakawa watoaji????