asakuta same
JF-Expert Member
- Mar 1, 2011
- 14,829
- 5,039
Pole sana , usijali yataisha hayo siku moja.
Kazana na masomo ,usije kufeli.
Kazana na masomo ,usije kufeli.
KWA HIYO SIO TATIZO KWA MTOTO WAKO WA KIKEE KUOSHWA SEHEMU ZAKE ZA SIRI NA MWANAUME? TENA MTU BAKI?
OOOOKAAAAAAY!! Basi atazidi tu kukutukana saana tuu.
Kama baba yako aliweza kumzuiaaikuoe basi asingeshindwa kumzuia kufanya fujo kama mtoto angekaa kwenu
SIO TATIZO KWA MTOTO WAKO KULALA NA KIJANA WA MIAKA 24?
Aisee!!!!!!!!!
Sikiliza nikwambie, isiishi kwakuongozwa na hisia,
Sitaki kutenda dhambi, baba yake mtoto anampenda mtoto wake kuliko unavyofikiria, kwa hilo sina shaka, tatizo mtoto analelewa kwao na yeye yupo hapo kwao sababu anawaangalia pia wazazi wake, tatizo ni waangalizi wa mtoto pale yeye anakuwa kazini na pia nadhani hata familia inatokea kuaminiana ndio maana mtoto anaweza kuachiwa mtoto wa kiume wao wakaona sawa, na ukisema unaonekana unawangilia, zaidi hana shida kabisa na mtoto na muda mwingi huwa na mwanae.
Mimi silalamiki yeye kuwa mtoto, kwakua ni jambo ambalo sina shaka nalo na soon litakuwa ndani ya uwezo wangu. ila ninalalamikia msg za matusi tu. nadhani umeelewa sasa.