Hornet
JF-Expert Member
- Apr 29, 2013
- 26,844
- 52,251
Hii sijui husababishwa na nini!"yaani unakuta baba siyo father material kabisa.Hajui kulea ndiyo maana...
He is not a farther material..
Hii sijui husababishwa na nini!"yaani unakuta baba siyo father material kabisa.Hajui kulea ndiyo maana...
He is not a farther material..
Anakuzunguka shemej huyo, ukirud home mwambie atafute hausegirl ndo utapunguza miselekwamba ananizunguka?

Ubinafsi ukizidi haya ndiyo matokeo yake... Anaona attention zote unazipeleka kwa mtoto...Hii sijui husababishwa na nini!"yaani unakuta baba siyo father material kabisa.
Ha haa una gari lakiniValentina njoo nikuoe!

Aaaaa gari tena.Ha haa una gari lakini![]()
absolutely.Hajui kulea ndiyo maana...
He is not a farther material..
Daah! Umeolewa na "Bachelor Husband"...Habarini wana mmu,
Mimi Ni mwanamke ambaye nimeolewa na Nina Mtoto mmoja mchanga miezi 3, tatizo nililonalo Ni kwamba mume Wangu huwa hapend kukaa nyumbani yeye akirud kutoka Kazini Ni kupumzika kidogo then anatoka Hadi usiku Sana
Hana muda Hata wa kunisaidia kukaa na Mtoto angalau nami nipumzike kidogo maana anajua jinsi Mtoto anavyosumbua na tunakaa wenyewe tu Mimi na yey mume Wangu, daima yeye anajali company za marafiki tu.
Je hapo tabia hii inaashiria nini? Mapenzi yapo kweli au ndio Sina changu tena?
True thatJaribu kujichunguza na upande wako pia. Wanaume hawapendi kelele wala dharau...
Vinginevo pata muda wa kuongea nae kumweleza vile unavotamani awe karibu na familia. Ukiongea nae kwa utulivu naamini atabadilika,hakuna mwanaume kichwa ngumu kwa mwanamke mnyenyekevu....
Miss Natafuta ntakubonda ujue!wanaume ni wabinafsi sana ,wana roho mbaya kuloko shetani lea tu mwanao mamy ishi nae tu maisha yaende
