Wanaume tabia hii vipi?

Wanaume tabia hii vipi?

Wanawake wanaupekee fulani katika kulea watoo hasa wachanga namna ya kubembeleza, kujua anasumbuliwa au ana njaa kwaiyo mda mwingi mtoto na mama wote wanakuwa confortable wakiwa pamoja sasa wewe sijui mwanamke wa aina gani unataka baba abebe mtoto au unataka kuchati insta,FB, whatsap mi mwenyewe nina mtoto waivyo sishindi nyumbani kabisaaa na sitaki kabisa kusikia mtoto analia
Mkuu ni mkeo huyo kaja kukushitaki huku, tulia nyumbani umbebe dogo
 
Jaribu kujichunguza na upande wako pia. Wanaume hawapendi kelele wala dharau...

Vinginevo pata muda wa kuongea nae kumweleza vile unavotamani awe karibu na familia. Ukiongea nae kwa utulivu naamini atabadilika,hakuna mwanaume kichwa ngumu kwa mwanamke mnyenyekevu....
Valentina njoo nikuoe!
 
Maandalizi ya ndoa yananzia kwenye uchumba,kama ukumjua mme wako vzuri kwenye uchumba ni nini anapenda na nini apendi ni kosa lako.
 
Hahaa unakazi? Kama huna na yeye ndo anaelisha familiaa we tulia tuu sababu yawezekana alikuoa kwa sababu hyo
 
Labda nikuulize Dada yangu,,wakati wa ujauzito je ilikuaje? Alikua Karib na wewe?? SBU tutapata njia ya kujua tatz lake kunzia ujauzito wako
 
Habarini wana mmu,
Mimi Ni mwanamke ambaye nimeolewa na Nina Mtoto mmoja mchanga miezi 3, tatizo nililonalo Ni kwamba mume Wangu huwa hapend kukaa nyumbani yeye akirud kutoka Kazini Ni kupumzika kidogo then anatoka Hadi usiku Sana

Hana muda Hata wa kunisaidia kukaa na Mtoto angalau nami nipumzike kidogo maana anajua jinsi Mtoto anavyosumbua na tunakaa wenyewe tu Mimi na yey mume Wangu, daima yeye anajali company za marafiki tu.

Je hapo tabia hii inaashiria nini? Mapenzi yapo kweli au ndio Sina changu tena?
Ngoja umalize kulea atatulia mm mwenyewe sipendi kukaa na mtoto.na mama mzazi anakuwa na shombo ya mziwa may be haipendi.
 
Huyo ni mvulana,,, kaa nae taratibu atabadilika. Akija tu mpe mwanae kwa upendo,,, huku unamwimbia dady dadiii,,,,,
 
wanaume ni wabinafsi sana ,wana roho mbaya kuloko shetani lea tu mwanao mamy ishi nae tu maisha yaende
Mh...kama wanaume wakiwa na roho mbaya kuliko shetani....basi wanawake mtakua na roho mbaya kuliko hata mungu mwenyewe.
 
Lea mtt mama acha wivu mama...jamaa hataki aanze kukupiga dudu mtt bado mdogo.

Tafuta beki 3 au ndg aje kukupa kampani
Akitafuta beki 3 utakuta jamaa amepunguza outings... Bora tuu abaki mwenyewe tuu
 
Vibinti vya sasa hivi ovyo kabsa!hawana ustaumilivu ktk ndoa zao.garasa!
 
Kubeba mtoto ni jukumu la asili kwa mwanamke na wala nikimbeba sio kuonesha mapenzi kwa mke, ttzo wanawake wanajisahau ukiruhusu kubeba tu na zamu ya kubadili pampas utapewa
 
Back
Top Bottom