Nokia83
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 24,643
- 44,371
Si utafute mmoja fasta wakat bado una nguvu
Si utafute mmoja fasta wakat bado una nguvu
Umesahau pia hatupendi uchafu, kuna wanawake wengine wakiwa wanalea wanaona kama hawana haki ya kujirembaJaribu kujichunguza na upande wako pia. Wanaume hawapendi kelele wala dharau...
Vinginevo pata muda wa kuongea nae kumweleza vile unavotamani awe karibu na familia. Ukiongea nae kwa utulivu naamini atabadilika,hakuna mwanaume kichwa ngumu kwa mwanamke mnyenyekevu....
farther???Hajui kulea ndiyo maana...
He is not a farther material..
Hv my sister mbn unawachukia bro zanguwanaume ni wabinafsi sana ,wana roho mbaya kuloko shetani lea tu mwanao mamy ishi nae tu maisha yaende
Baba yako nae pia ni mbinafsi? Na yeye roho yake pia ni mbaya kuliko shetani?wanaume ni wabinafsi sana ,wana roho mbaya kuloko shetani lea tu mwanao mamy ishi nae tu maisha yaende
Wivu utakuua wewe!!!Habarini wana mmu,
Mimi Ni mwanamke ambaye nimeolewa na Nina Mtoto mmoja mchanga miezi 3, tatizo nililonalo Ni kwamba mume Wangu huwa hapend kukaa nyumbani yeye akirud kutoka Kazini Ni kupumzika kidogo then anatoka Hadi usiku Sana
Hana muda Hata wa kunisaidia kukaa na Mtoto angalau nami nipumzike kidogo maana anajua jinsi Mtoto anavyosumbua na tunakaa wenyewe tu Mimi na yey mume Wangu, daima yeye anajali company za marafiki tu.
Je hapo tabia hii inaashiria nini? Mapenzi yapo kweli au ndio Sina changu tena?
Wewe unakawivu kakubwawanaume ni wabinafsi sana ,wana roho mbaya kuloko shetani lea tu mwanao mamy ishi nae tu maisha yaende
Hahahahsometimes wanaume hatupendi tabia za kugandana gandana kupita kiasi...
sikutaki hata kwa farasi miaWewe unakawivu kakubwa
Hiv unalipiwa mahali ng'ombe ngapi?
Nije nikuchukue nawapendaga wanamna yako
Roho zetu nzuri sana,apo lazma kutakuwa na reason,hatukurupukagi tu usikute jamaa shetani mahaba hayuko mbali,ili kumnusuru mwanae na mkewe bora akapige misele mbele kwq mbele,kuliko kum bemenda mwanaewanaume ni wabinafsi sana ,wana roho mbaya kuloko shetani lea tu mwanao mamy ishi nae tu maisha yaende
Tunajuaga wanawake huwa mnachamba sana pindi tunapoanza kuwakunjulia mioyo yetu kwa lovesikutaki hata kwa farasi mia
Wafunde dada wafunde kabisaa wengi wapo wapo tuJaribu kujichunguza na upande wako pia. Wanaume hawapendi kelele wala dharau...
Vinginevo pata muda wa kuongea nae kumweleza vile unavotamani awe karibu na familia. Ukiongea nae kwa utulivu naamini atabadilika,hakuna mwanaume kichwa ngumu kwa mwanamke mnyenyekevu....
Hahahaahhahahaahahahahaha hapo umemalizaaaaa!Lea mtt mama acha wivu mama...jamaa hataki aanze kukupiga dudu mtt bado mdogo.
Tafuta beki 3 au ndg aje kukupa kampani