Wanaume tabia hii vipi?

Hivi hujui kwamba ukiwa na Mtoto mchanga tena huyo wa Miezi 3 kawaida hata Mbunye yako inakuwa haionyeshi ushirikiano na inakosa mvuto? Mwisho mbona naona kuuliza Kwako hapo mwisho kuwa huna chako tena naona ni jibu dhahiri na wala siyo swali? Maliza kulea Kwanza na acha Wivu Bibie sawa? Vumilia tu ila ukweli ni kwamba Mumeo sasa anabandua tu kwa kwenda mbele!
imebid nicheke tu jpo inacikitisha cjui umewaza hpo ulipomalizia
 
Baada ya Mtoto kuja imezid maradufu

Mmh napata picha kidogo
Kuwa mtulivu mwambie hupendezwi huyo ni mumeo,rafiki ako kuwa muwazi kwake na kama kuwa vitu unahisi wewe ndo wasababisha jirekebishe taratibu mtakuwa tu vizuri
 
Mi najua hapo sababu kubwa huyo jamaa yako anakupenda,na akiwa karibu yako lazima aombe mzigo tatizo anakahurumia hako katoto...sio mbaya vumilia tu.
 
Kibaiolojia kazi ya malezi kwa viumbe jamii ya mamalia ni ya mama. W/ume tunajipendekeza tu
 
Wanawake wanaupekee fulani katika kulea watoo hasa wachanga namna ya kubembeleza, kujua anasumbuliwa au ana njaa kwaiyo mda mwingi mtoto na mama wote wanakuwa confortable wakiwa pamoja sasa wewe sijui mwanamke wa aina gani unataka baba abebe mtoto au unataka kuchati insta,FB, whatsap mi mwenyewe nina mtoto waivyo sishindi nyumbani kabisaaa na sitaki kabisa kusikia mtoto analia
Wewe utakuwa mume wa mleta mada. Rudi nyumbani mkayajenge sio kujibishana mitandaoni.
 
wanaume ni wabinafsi sana ,wana roho mbaya kuloko shetani lea tu mwanao mamy ishi nae tu maisha yaende
Sio wote. Wengine tunawafuta hadi nya na kuwaogesha. Kama unawapenda wanao lazima uwajibike. Na utakuwa unaomba masaa yaende haraka ili urudi nyumbani ukacheze na watoto kidogo then uingie na mtaani kidogo Kwa bia mbili tatu. Ukiona mwanaume hana muda na mtoto kuna mawili, kashikiwa chini mahali au hayupo tayari kuwa mzazi (kuna tofauti kubwa sana ya kuwa baba na kuwa mzazi)
 
Habarini wana mmu, Mimi Ni mwanamke ambaye nimeolewa na Nina Mtoto mmoja mchanga miezi 3,tatizo nililonalo Ni kwamba mume Wangu huwa hapend kukaa nyumbani yeye akirud kutoka Kazini Ni kupumzika kidogo then anatoka Hadi usiku Sana Hana muda Hata wa kunisaidia kukaa na Mtoto angalau nami nipumzike kidogo maana anajuwa jinsi Mtoto anavyosumbua na tunakaa wenyewe tu Mimi na yey mume Wangu,daima yeye anajali company za marafiki tu.

Je apo tabia hii inaashiria nini? Mapenzi yapo kweli au ndio Sina changu tena?
Pole sana dada. Jaribu kuongea nae na umueleze kuwa hiyo hali inakuumiza. Muombe angalau awe anakusaidia kukaa na mtoto ili hata mtoto amzoee baba yake.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Habarini wana mmu, Mimi Ni mwanamke ambaye nimeolewa na Nina Mtoto mmoja mchanga miezi 3,tatizo nililonalo Ni kwamba mume Wangu huwa hapend kukaa nyumbani yeye akirud kutoka Kazini Ni kupumzika kidogo then anatoka Hadi usiku Sana Hana muda Hata wa kunisaidia kukaa na Mtoto angalau nami nipumzike kidogo maana anajuwa jinsi Mtoto anavyosumbua na tunakaa wenyewe tu Mimi na yey mume Wangu,daima yeye anajali company za marafiki tu.

Je apo tabia hii inaashiria nini? Mapenzi yapo kweli au ndio Sina changu tena?
Inatokea hasa kwa ndoa changa kwa sababu mwanaume au mwanamke(wachache) alikuwa na kundi la marafiki ambao ndio aliojenga nao maisha na furaha yake hadi mnakutana, kwa hali hiyo inamuwia vigumu kubadili gia ya kurudi nyuma ghafla huku gari inaenda mbele kwani atachekwa na kuonekana kapigwa pini....Ilitokea nilipooa na nakumbuka mke wangu hakuchukulia hili jambo kwa haraka ila aliomba nigawe siku za marafiki na za familia, tukakubaliana iwe wk-end, jumanne na alhamisi nyumbani zilizobaki za marafiki.... Baadae akaomba tuwe na siku moja ya kutoka kwa ajili ya marafiki nayo ikawa ijumaa naye anaunga tela.... Sasa mwaka wa 7 sijui hata zile ratiba ziliishia wapi kwani ratiba za out ni mimi na yeye kila tukiwa na ziada..... Cha kujifunza hapa ni kwamba: Usitumie nguvu nyingi kujenga ustaarabu wa ndoa yako ila tumia hekima na busara, siyo anarudi unampokea na matusi hapo ndio umelikoroga..... Tumia mbinu ya my sabuni wa Roho yangu naamini utafanikiwa ndani ya mwaka au miezi kadhaa.....Siku njema.
 
wanaume ni wabinafsi sana ,wana roho mbaya kuloko shetani lea tu mwanao mamy ishi nae tu maisha yaende
Umekosea Miss na nadhani umeteleza kwani tangu nasoma comment zako nyingi ya leo hapana.... Ni kweli baadhi ya wanaume
wana roho mbaya/ubinafsi/ukatili kama ilivyo kwa baadhi ya wanawake, watoto, wazazi, wazee, viongozi, wachungaji, n.k ila siyo kundi zima linapaswa kubeba hiyo dhambi..... Note please.....
 
Inatokea hasa kwa ndoa changa kwa sababu mwanaume au mwanamke(wachache) alikuwa na kundi la marafiki ambao ndio aliojenga nao maisha na furaha yake hadi mnakutana, kwa hali hiyo inamuwia vigumu kubadili gia ya kurudi nyuma ghafla huku gari inaenda mbele kwani atachekwa na kuonekana kapigwa pini....Ilitokea nilipooa na nakumbuka mke wangu hakuchukulia hili jambo kwa haraka ila aliomba nigawe siku za marafiki na za familia, tukakubaliana iwe wk-end, jumanne na alhamisi nyumbani zilizobaki za marafiki.... Baadae akaomba tuwe na siku moja ya kutoka kwa ajili ya marafiki nayo ikawa ijumaa naye anaunga tela.... Sasa mwaka wa 7 sijui hata zile ratiba ziliishia wapi kwani ratiba za out ni mimi na yeye kila tukiwa na ziada..... Cha kujifunza hapa ni kwamba: Usitumie nguvu nyingi kujenga ustaarabu wa ndoa yako ila tumia hekima na busara, siyo anarudi unampokea na matusi hapo ndio umelikoroga..... Tumia mbinu ya my sabuni wa Roho yangu naamini utafanikiwa ndani ya mwaka au miezi kadhaa.....Siku njema.
Asante Sana nimejifunza kitu kutoka comment yako
 
Ni yeye tu, mi navyopenda vichanga nakuachaje, na mimi kama mwanaume najua ndo kichwa cha familia hivyo nikiwa kazini niwe tegemeo na nikiwa home niwe tegemeo siwezi kuyakimbia majukumu yangu kamwe, huyo jamaa nadhani inachangiwa na malezi aliyokulia pia na tabia binafsi ya mtu ya kutojitambua kuwa sasa amekuwa ana familia yabidi awajibike kama baba.... Mshauri, tumia watu wazima pia, sometimes ni hali ya mtu kupitiwa si wajua we have friends wakati mwingine wanaweza kukubadili kidogo
 
Wanaume achen mawazo potofu we huwez kutoka asubuh halaf unarud jion bila aibu unatoka tena yan hata kumsaidia mkeo ni ngumu.Mna laana wanaume wenye mawazo ya kishetan
 
Wanawake wanaupekee fulani katika kulea watoo hasa wachanga namna ya kubembeleza, kujua anasumbuliwa au ana njaa kwaiyo mda mwingi mtoto na mama wote wanakuwa confortable wakiwa pamoja sasa wewe sijui mwanamke wa aina gani unataka baba abebe mtoto au unataka kuchati insta,FB, whatsap mi mwenyewe nina mtoto waivyo sishindi nyumbani kabisaaa na sitaki kabisa kusikia mtoto analia
Hahahaaaaa!!!

Kazi kweli kweli!!
 
Back
Top Bottom