swamy
JF-Expert Member
- Aug 25, 2012
- 252
- 143
Niuzieni huyo mtt anisumbue mimi. .. nataka mtoto wakunisumbua wajameniHabarini wana mmu, Mimi Ni mwanamke ambaye nimeolewa na Nina Mtoto mmoja mchanga miezi 3,tatizo nililonalo Ni kwamba mume Wangu huwa hapend kukaa nyumbani yeye akirud kutoka Kazini Ni kupumzika kidogo then anatoka Hadi usiku Sana Hana muda Hata wa kunisaidia kukaa na Mtoto angalau nami nipumzike kidogo maana anajuwa jinsi Mtoto anavyosumbua na tunakaa wenyewe tu Mimi na yey mume Wangu,daima yeye anajali company za marafiki tu. je apo tabia hii inaashiria nini?mapenzi yapo kweli au ndio Sina changu tena?