Wanaume Single mnasubiria nini?

unaweza ukawa katika mahusiano japo hujaoa so no shida yoyote wala upweke
 
Mbona kupika, kufua, kupiga deki na kuwasha mota ya kukinga maji ya ndani nimeshazowea
 
Hakuna maisha matamu kama USINGLE..
1. Matumizi ya pesa yako unayapanga mwenyewe.
2. Huhitaji ruhusa ya mtu yeyotee kwenda sehemu yoyote.
3. N.K

#YOUR FREE FROM EVERY KIFUNGO..!!

#YNWA

Wrote from Anfield..!!
 
Hakuna maisha matamu kama USINGLE..
1. Matumizi ya pesa yako unayapanga mwenyewe.
2. Huhitaji ruhusa ya mtu yeyotee kwenda sehemu yoyote.
3. N.K

#YOUR FREE FROM EVERY KIFUNGO..!!

#YNWA

Wrote from Anfield..!!
Namba 2 hiyo
 
Sababu ni moja tu,
Kama naweza kupata maziwa kiurahisi yanini nihangaike kufuga Ng'ombe mzima?
 
Nioe saiv niishiwe dam? Wanawake wakuoa walkuw zaman sio saiv tutapeana stress bulee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Utarudi saa ngapi?
Mbona Umechelewa kurudi
Upo wapi
Kwani lazima upite maskani!?

Huo muda wa kujibu hayo maswali ninao sasa!?
 
Usijali my sweet L.. Mumo niko hapa.. Zama inbobo faster!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…