Tumekuelewa dada, maneno mazuri yenye hekima.Wanaume ninyi ndio baba zetu na viongozi wetu. Mbona mnakubali kubaki nyuma katika jamii na kuacha mambo yafeli?!
Ni nani atakuwa mtetezi wetu sisi akina mama na watoto kama ninyi mnaogopa na mnakuwa wadhaifu.
Najua na sisi kuna vijitabia ambavyo huwakwaza na kuwafanya mkose morali ya kushika nafasi zenu.
Ila si mnakumbuka kuwa ninyi ndio mlipewa dhamana ya uongozi wa kutuongoza sisi pamoja na kusimamia shughuli zote za dunia hii?!
Haya mambo yoyote tunayofanya ya kuwakosea ni ninyi mnatakiwa kusimama na sisi kutunyoosha aidha kwa ukali au upendo. Mwanamke anakuwa hakutext eti na wewe unamnunia.... Unaanzaje kumnunia mwanamke badala ya kumuelekeza na kumbadili tabia.
Mwanamke anakuja kukulilia njaa n amatumizi, huyo anakupa ujumbe kuwa amekuamini wewe kuwa caretaker wake unachotakiwa ni kumtaarifu kuwa unataka muwe rasmi na sio ubabaishaji wa kudanganyana tu na kutumiana.....
Najua kada ya kike tunawakosea sana na ni ukweli uliowazi kuwa tutalipia siku si nyingi kwa kutokuwa makini na maelekezo yenu mnapokuwa mnatukanya, mtusamehe na msiache kutuongoza.
Ninyi ni viumbe adimu na muhimu sana katika hii dunia.... Ndio maana hata katika uzao mwanaume hupatikana kwa taabu sana na mwili hutumia nguvu ya ziada katika kuumba mwanaume tofauti na mwanamke. Hii ni wazi kuwa ninyi ni jinsia teule na mliumbwa kuwa viongozi.
Katika Bible, kile kitabu cha Sira 9 mstari wa 2,imewekwa bayana kuwa..... "Usimwachie mwanamke ukuu wako, la sivyo atakutawala kabisa" why mnatuacha sisi ndio tuwe na mamlaka ya kusimamia uchumi wa nyumbani mnataka watoto wawaoneje na kujifunza nini?! Why mnachukulia maisha ni mepesi kwa lugha nyepesi kama kusema hakuna ajira, au maisha magumu.
Hivi mnaona wenzenu akina diamond anavyopambana hadi anaitoa familia yake katika aibu ya ufukara leo wanaheshimika mama Naseeb anapopita na ile gari yake ya bei hakuna asiyeshtuka.
Hebu oneni akina Chris brown, Kevin hart, will smith, idris elba, harmonize, fred vunja bei, na wengine wengi ambao hawafahamiki ila wanapambana na wanasimama nafasi zao, tazama wanavyowasitili wake zao na mama zao na dada zao na fedheha na taabu za hii dunia. Ninyi mnakwama wapi kufanya jambo lolote ili kusimamia jina lako ling'ae na kujenga ukoo imara na kumpa heshima mkeo na mama yako?!
Mataifa makubwa, jamii imara na zenye uwezo ni matokeo ya wanaume imara na wanaoshika nafasi zao bila kutetemeka. Tazama leo wachagga jamii ilikuwa imara sana ila kwasasa inazidi kudumaa na ndio wanaongoza kwa kuwa na vijana marioo, wanaume wa wasukuma na wamasai kidogo bado wanapambana kushika nafasi yao. Na ndio unaona ndio wanashika nafasi kubwa akina laizer, na baadhi ya viongozi.
Ninyi ndio makepteni wa hii dunia, mkilala ninyi nani atasimama na sisi. Achana na haya maneno ya hawa wanaharakati wanaosema mwanamke akiwezeshwa sijui nini hayo ni maneno ya kuficha msiba mzito tulio nao wa kukosa wanaume mashujaa katika jamii hii.
Mimi si kwamba siungi mkono wanawake kutafuta la hasha ni wajibu katika mazingira ya sasa ya kiuchumi ila sasa ndio isiwe hali ya kudumu. Mwanamke anajukumu lake la asili nalo ni kusimamia nyumba yake, mume wake na watoto wakati mumewe akiwa huko nje anapambana.
Jamani wanaume..... Nawaita tena wanaume..... Haijalishi upo umri gani, kuanzia 18,wewe ni mwanaume na unakila sababu ya kukamata nafasi yako na kushika usukani wa uongozi wako. Msitususie haya maisha kwa kukata tamaa. Mnatuachia sisi wanawake ndio tushike mamlaka za uongozi na maamuzi kwann mnafeli hivyo jamani?!
Popote ulipo kaka, rafiki yangu,mdogo wangu wa kiume, naomba usimame kishujaa piga kifua chako sema mimi ni mwanaume na ninakwenda kushika nafasi yangu duniani na kuimarisha mamlaka niliyopewa na wanaume wenzangu. Kama upo nyumbani kwa wazazi umekata tamaa naomba usimame na ujipe wiki moja au mbili na uweke nadhiri ya kutoka hapo ndani na kwenda kuwa na nyumbani kwako. Mkeo wako ambaye haujamuona bado yupo huko anakutafuta kwa maombi na kilio cha moyo na hajaonana na wewe kwasababu tu umechagua kukata tamaa umelala na kujificha ukisema maisha magumu na hakuna pa kutokea.....
Ewe baba ambaye katika familia umeona mkeo ndie mbeba gharama za familia, hebu ionee aibu hiyo hali na tazama upya vyanzo vyako. Huyo ni mkeo sio sponsor wako hadi unamuachia asimamie bili za nyumbani kwa kisingizio cha ugumu wa maisha.
Hapana maisha sio magumu, unayaangalia kwa ugumu. Yangekuwa ni magumu basi kuna watu huko nje wasingekuwa wanafanikiwa nyakati hizi. Ugumu wa maisha haya ni fumbo umewekewa na ukitumia kichwa chako vema utaona njia tofauti. Usiogope kubadili mbinu za maisha katika kutafuta.
Sisi kwetu upendo kutoka kwenu huwa tunausoma kwa namna mnatuhudumia na kutupa matunzo na ulinzi. Sio maneno matupu. Mkifanya hiyo ni dhahiri kuwa heshima itakuja kwenu bila ubishi na mtatupenda zaidi.
Msikate tamaa baba zetu, tunawapenda sana na kuwategemea ninyimsituangushe... Ninyi ndio viongozi wetu na ndio wafalme wetu. Tania na mienendo yetu ya ajabu mtusamehe bure hatuwahi wekwa unyago na kufunzwa kama mama zetu, tunajifunza kupitia matatizo yanayotukuta. Ndio maana single mother ni muelewa kuliko binti ambaye hajazalishwa na kuachwa.....
Mtuvumilie na mtusitiri kwa huruma. Wanaume mna mioyo ya pekee sana na yenye upendo wa dhati ya ndani sana. Sisi tukiwa na ninyi katika maisha huwa tunajiwazia sisi kwanza. Hii ni sifa yetu sisi mabinti wa sasa. Mwanamke naweza kuwa na shillingi 50,000 nikaja kuomba 5,000 yako ambayo ndio ipo kulinda mfuko wako na still ukanipatia. Wanaume MUNGU amewapa moyo wa upendo ajabu sana.
Sisi wanawake bila kujijua au kusudi tunawakwaza bila kujali ila mnatusamehe na mnaendelea kuwa na sisi na maudhui yetu. Tunasema unyanyasaji wa kijinsia hufanyiwa wanawake zaidi ila tunapuuza mateso na unyanyasaji wa kisaikolojia mnaopitia kutokana na vituko vyetu vinavyowaumiza mioyo yenu kila uchao, mtusamehe na mturekebishe kwa upole sana.
Tunawapenda na tunawahitaji sana.... Tafadhali msitususie hii dunia na changamoto zake.... Simameni na sisi simameni mtupiganie na sisi tunaahidi kuanza kubadilika na kuwa nyuma yenu.....
hamna kitu hapo, tatizo la wanawake wa tz, Africa wanapenda kitonga mno (mteremko) na ndo maana wengi wao hurubuniwa kirahisi wakitanguliza tamaa mbele, kwa kutazama/kuangalia na kumendea pesa za wanaume, wasizojua namna ya kuzitafuta na zinatafutwaje. Inafkia kipindi mpaka wanakubali kujizalilisha kwa namna mbalimbali kwa ajili ya pesa za mteremko(kitonga).
Wengine wanadiriki mpaka kutembea au kuolewa na watu wa marika ya babu zao na baba zao kwaajili ya tamaa zao za pesa za mteremko (kitonga) kutoka kwa wanaume wasizojua zimetaftwaje au zimepatikana vipi.
NB; Wanawake wa Tz, Africa wavivu, wazembe wanataka haki sawa ya kufanana na wanaume, ila linapokuja swala la kutafuta pesa hawachachariki kuzitafuta, hawafanyi kazi, badala yake wanakalia kutegemea wanaume, yabidi wafanye kazi wawe mafundi ujenzi, wawe madereva wa magari na bodaboda, wawe viongozi wa familia, jamii na taifa kama wanawake wa EU na USA, ilikusudi waachane na vitonga, kuomba omba na utegemezi kutoka kwa wanaume pia ili waheshimike. Bila shaka hii ndo haki sawa na itakuwa ndo haki sawa wanayoitaka ya kufanana na wanaume.
Words to live by 🙏🙏Learn how to earn things, don't take advantage....
Umeongea mambo kuntu tupu, kongole kwa maoni yako mazuri!!!!Wanaume ninyi ndio baba zetu na viongozi wetu. Mbona mnakubali kubaki nyuma katika jamii na kuacha mambo yafeli?!
Ni nani atakuwa mtetezi wetu sisi akina mama na watoto kama ninyi mnaogopa na mnakuwa wadhaifu.
Najua na sisi kuna vijitabia ambavyo huwakwaza na kuwafanya mkose morali ya kushika nafasi zenu.
Ila si mnakumbuka kuwa ninyi ndio mlipewa dhamana ya uongozi wa kutuongoza sisi pamoja na kusimamia shughuli zote za dunia hii?!
Haya mambo yoyote tunayofanya ya kuwakosea ni ninyi mnatakiwa kusimama na sisi kutunyoosha aidha kwa ukali au upendo. Mwanamke anakuwa hakutext eti na wewe unamnunia.... Unaanzaje kumnunia mwanamke badala ya kumuelekeza na kumbadili tabia.
Mwanamke anakuja kukulilia njaa n amatumizi, huyo anakupa ujumbe kuwa amekuamini wewe kuwa caretaker wake unachotakiwa ni kumtaarifu kuwa unataka muwe rasmi na sio ubabaishaji wa kudanganyana tu na kutumiana.....
Najua kada ya kike tunawakosea sana na ni ukweli uliowazi kuwa tutalipia siku si nyingi kwa kutokuwa makini na maelekezo yenu mnapokuwa mnatukanya, mtusamehe na msiache kutuongoza.
Ninyi ni viumbe adimu na muhimu sana katika hii dunia.... Ndio maana hata katika uzao mwanaume hupatikana kwa taabu sana na mwili hutumia nguvu ya ziada katika kuumba mwanaume tofauti na mwanamke. Hii ni wazi kuwa ninyi ni jinsia teule na mliumbwa kuwa viongozi.
Katika Bible, kile kitabu cha Sira 9 mstari wa 2,imewekwa bayana kuwa..... "Usimwachie mwanamke ukuu wako, la sivyo atakutawala kabisa" why mnatuacha sisi ndio tuwe na mamlaka ya kusimamia uchumi wa nyumbani mnataka watoto wawaoneje na kujifunza nini?! Why mnachukulia maisha ni mepesi kwa lugha nyepesi kama kusema hakuna ajira, au maisha magumu.
Hivi mnaona wenzenu akina diamond anavyopambana hadi anaitoa familia yake katika aibu ya ufukara leo wanaheshimika mama Naseeb anapopita na ile gari yake ya bei hakuna asiyeshtuka.
Hebu oneni akina Chris brown, Kevin hart, will smith, idris elba, harmonize, fred vunja bei, na wengine wengi ambao hawafahamiki ila wanapambana na wanasimama nafasi zao, tazama wanavyowasitili wake zao na mama zao na dada zao na fedheha na taabu za hii dunia. Ninyi mnakwama wapi kufanya jambo lolote ili kusimamia jina lako ling'ae na kujenga ukoo imara na kumpa heshima mkeo na mama yako?!
Mataifa makubwa, jamii imara na zenye uwezo ni matokeo ya wanaume imara na wanaoshika nafasi zao bila kutetemeka. Tazama leo wachagga jamii ilikuwa imara sana ila kwasasa inazidi kudumaa na ndio wanaongoza kwa kuwa na vijana marioo, wanaume wa wasukuma na wamasai kidogo bado wanapambana kushika nafasi yao. Na ndio unaona ndio wanashika nafasi kubwa akina laizer, na baadhi ya viongozi.
Ninyi ndio makepteni wa hii dunia, mkilala ninyi nani atasimama na sisi. Achana na haya maneno ya hawa wanaharakati wanaosema mwanamke akiwezeshwa sijui nini hayo ni maneno ya kuficha msiba mzito tulio nao wa kukosa wanaume mashujaa katika jamii hii.
Mimi si kwamba siungi mkono wanawake kutafuta la hasha ni wajibu katika mazingira ya sasa ya kiuchumi ila sasa ndio isiwe hali ya kudumu. Mwanamke anajukumu lake la asili nalo ni kusimamia nyumba yake, mume wake na watoto wakati mumewe akiwa huko nje anapambana.
Jamani wanaume..... Nawaita tena wanaume..... Haijalishi upo umri gani, kuanzia 18,wewe ni mwanaume na unakila sababu ya kukamata nafasi yako na kushika usukani wa uongozi wako. Msitususie haya maisha kwa kukata tamaa. Mnatuachia sisi wanawake ndio tushike mamlaka za uongozi na maamuzi kwann mnafeli hivyo jamani?!
Popote ulipo kaka, rafiki yangu,mdogo wangu wa kiume, naomba usimame kishujaa piga kifua chako sema mimi ni mwanaume na ninakwenda kushika nafasi yangu duniani na kuimarisha mamlaka niliyopewa na wanaume wenzangu. Kama upo nyumbani kwa wazazi umekata tamaa naomba usimame na ujipe wiki moja au mbili na uweke nadhiri ya kutoka hapo ndani na kwenda kuwa na nyumbani kwako. Mkeo wako ambaye haujamuona bado yupo huko anakutafuta kwa maombi na kilio cha moyo na hajaonana na wewe kwasababu tu umechagua kukata tamaa umelala na kujificha ukisema maisha magumu na hakuna pa kutokea.....
Ewe baba ambaye katika familia umeona mkeo ndie mbeba gharama za familia, hebu ionee aibu hiyo hali na tazama upya vyanzo vyako. Huyo ni mkeo sio sponsor wako hadi unamuachia asimamie bili za nyumbani kwa kisingizio cha ugumu wa maisha.
Hapana maisha sio magumu, unayaangalia kwa ugumu. Yangekuwa ni magumu basi kuna watu huko nje wasingekuwa wanafanikiwa nyakati hizi. Ugumu wa maisha haya ni fumbo umewekewa na ukitumia kichwa chako vema utaona njia tofauti. Usiogope kubadili mbinu za maisha katika kutafuta.
Sisi kwetu upendo kutoka kwenu huwa tunausoma kwa namna mnatuhudumia na kutupa matunzo na ulinzi. Sio maneno matupu. Mkifanya hiyo ni dhahiri kuwa heshima itakuja kwenu bila ubishi na mtatupenda zaidi.
Msikate tamaa baba zetu, tunawapenda sana na kuwategemea ninyimsituangushe... Ninyi ndio viongozi wetu na ndio wafalme wetu. Tania na mienendo yetu ya ajabu mtusamehe bure hatuwahi wekwa unyago na kufunzwa kama mama zetu, tunajifunza kupitia matatizo yanayotukuta. Ndio maana single mother ni muelewa kuliko binti ambaye hajazalishwa na kuachwa.....
Mtuvumilie na mtusitiri kwa huruma. Wanaume mna mioyo ya pekee sana na yenye upendo wa dhati ya ndani sana. Sisi tukiwa na ninyi katika maisha huwa tunajiwazia sisi kwanza. Hii ni sifa yetu sisi mabinti wa sasa. Mwanamke naweza kuwa na shillingi 50,000 nikaja kuomba 5,000 yako ambayo ndio ipo kulinda mfuko wako na still ukanipatia. Wanaume MUNGU amewapa moyo wa upendo ajabu sana.
Sisi wanawake bila kujijua au kusudi tunawakwaza bila kujali ila mnatusamehe na mnaendelea kuwa na sisi na maudhui yetu. Tunasema unyanyasaji wa kijinsia hufanyiwa wanawake zaidi ila tunapuuza mateso na unyanyasaji wa kisaikolojia mnaopitia kutokana na vituko vyetu vinavyowaumiza mioyo yenu kila uchao, mtusamehe na mturekebishe kwa upole sana.
Tunawapenda na tunawahitaji sana.... Tafadhali msitususie hii dunia na changamoto zake.... Simameni na sisi simameni mtupiganie na sisi tunaahidi kuanza kubadilika na kuwa nyuma yenu.....
Hauna Baba?Wanaume ninyi ndio baba zetu na viongozi wetu. Mbona mnakubali kubaki nyuma katika jamii na kuacha mambo yafeli?!
Ni nani atakuwa mtetezi wetu sisi akina mama na watoto kama ninyi mnaogopa na mnakuwa wadhaifu.
Najua na sisi kuna vijitabia ambavyo huwakwaza na kuwafanya mkose morali ya kushika nafasi zenu.
Ila si mnakumbuka kuwa ninyi ndio mlipewa dhamana ya uongozi wa kutuongoza sisi pamoja na kusimamia shughuli zote za dunia hii?!
Haya mambo yoyote tunayofanya ya kuwakosea ni ninyi mnatakiwa kusimama na sisi kutunyoosha aidha kwa ukali au upendo. Mwanamke anakuwa hakutext eti na wewe unamnunia.... Unaanzaje kumnunia mwanamke badala ya kumuelekeza na kumbadili tabia.
Mwanamke anakuja kukulilia njaa n amatumizi, huyo anakupa ujumbe kuwa amekuamini wewe kuwa caretaker wake unachotakiwa ni kumtaarifu kuwa unataka muwe rasmi na sio ubabaishaji wa kudanganyana tu na kutumiana.....
Najua kada ya kike tunawakosea sana na ni ukweli uliowazi kuwa tutalipia siku si nyingi kwa kutokuwa makini na maelekezo yenu mnapokuwa mnatukanya, mtusamehe na msiache kutuongoza.
Ninyi ni viumbe adimu na muhimu sana katika hii dunia.... Ndio maana hata katika uzao mwanaume hupatikana kwa taabu sana na mwili hutumia nguvu ya ziada katika kuumba mwanaume tofauti na mwanamke. Hii ni wazi kuwa ninyi ni jinsia teule na mliumbwa kuwa viongozi.
Katika Bible, kile kitabu cha Sira 9 mstari wa 2,imewekwa bayana kuwa..... "Usimwachie mwanamke ukuu wako, la sivyo atakutawala kabisa" why mnatuacha sisi ndio tuwe na mamlaka ya kusimamia uchumi wa nyumbani mnataka watoto wawaoneje na kujifunza nini?! Why mnachukulia maisha ni mepesi kwa lugha nyepesi kama kusema hakuna ajira, au maisha magumu.
Hivi mnaona wenzenu akina diamond anavyopambana hadi anaitoa familia yake katika aibu ya ufukara leo wanaheshimika mama Naseeb anapopita na ile gari yake ya bei hakuna asiyeshtuka.
Hebu oneni akina Chris brown, Kevin hart, will smith, idris elba, harmonize, fred vunja bei, na wengine wengi ambao hawafahamiki ila wanapambana na wanasimama nafasi zao, tazama wanavyowasitili wake zao na mama zao na dada zao na fedheha na taabu za hii dunia. Ninyi mnakwama wapi kufanya jambo lolote ili kusimamia jina lako ling'ae na kujenga ukoo imara na kumpa heshima mkeo na mama yako?!
Mataifa makubwa, jamii imara na zenye uwezo ni matokeo ya wanaume imara na wanaoshika nafasi zao bila kutetemeka. Tazama leo wachagga jamii ilikuwa imara sana ila kwasasa inazidi kudumaa na ndio wanaongoza kwa kuwa na vijana marioo, wanaume wa wasukuma na wamasai kidogo bado wanapambana kushika nafasi yao. Na ndio unaona ndio wanashika nafasi kubwa akina laizer, na baadhi ya viongozi.
Ninyi ndio makepteni wa hii dunia, mkilala ninyi nani atasimama na sisi. Achana na haya maneno ya hawa wanaharakati wanaosema mwanamke akiwezeshwa sijui nini hayo ni maneno ya kuficha msiba mzito tulio nao wa kukosa wanaume mashujaa katika jamii hii.
Mimi si kwamba siungi mkono wanawake kutafuta la hasha ni wajibu katika mazingira ya sasa ya kiuchumi ila sasa ndio isiwe hali ya kudumu. Mwanamke anajukumu lake la asili nalo ni kusimamia nyumba yake, mume wake na watoto wakati mumewe akiwa huko nje anapambana.
Jamani wanaume..... Nawaita tena wanaume..... Haijalishi upo umri gani, kuanzia 18,wewe ni mwanaume na unakila sababu ya kukamata nafasi yako na kushika usukani wa uongozi wako. Msitususie haya maisha kwa kukata tamaa. Mnatuachia sisi wanawake ndio tushike mamlaka za uongozi na maamuzi kwann mnafeli hivyo jamani?!
Popote ulipo kaka, rafiki yangu,mdogo wangu wa kiume, naomba usimame kishujaa piga kifua chako sema mimi ni mwanaume na ninakwenda kushika nafasi yangu duniani na kuimarisha mamlaka niliyopewa na wanaume wenzangu. Kama upo nyumbani kwa wazazi umekata tamaa naomba usimame na ujipe wiki moja au mbili na uweke nadhiri ya kutoka hapo ndani na kwenda kuwa na nyumbani kwako. Mkeo wako ambaye haujamuona bado yupo huko anakutafuta kwa maombi na kilio cha moyo na hajaonana na wewe kwasababu tu umechagua kukata tamaa umelala na kujificha ukisema maisha magumu na hakuna pa kutokea.....
Ewe baba ambaye katika familia umeona mkeo ndie mbeba gharama za familia, hebu ionee aibu hiyo hali na tazama upya vyanzo vyako. Huyo ni mkeo sio sponsor wako hadi unamuachia asimamie bili za nyumbani kwa kisingizio cha ugumu wa maisha.
Hapana maisha sio magumu, unayaangalia kwa ugumu. Yangekuwa ni magumu basi kuna watu huko nje wasingekuwa wanafanikiwa nyakati hizi. Ugumu wa maisha haya ni fumbo umewekewa na ukitumia kichwa chako vema utaona njia tofauti. Usiogope kubadili mbinu za maisha katika kutafuta.
Sisi kwetu upendo kutoka kwenu huwa tunausoma kwa namna mnatuhudumia na kutupa matunzo na ulinzi. Sio maneno matupu. Mkifanya hiyo ni dhahiri kuwa heshima itakuja kwenu bila ubishi na mtatupenda zaidi.
Msikate tamaa baba zetu, tunawapenda sana na kuwategemea ninyimsituangushe... Ninyi ndio viongozi wetu na ndio wafalme wetu. Tania na mienendo yetu ya ajabu mtusamehe bure hatuwahi wekwa unyago na kufunzwa kama mama zetu, tunajifunza kupitia matatizo yanayotukuta. Ndio maana single mother ni muelewa kuliko binti ambaye hajazalishwa na kuachwa.....
Mtuvumilie na mtusitiri kwa huruma. Wanaume mna mioyo ya pekee sana na yenye upendo wa dhati ya ndani sana. Sisi tukiwa na ninyi katika maisha huwa tunajiwazia sisi kwanza. Hii ni sifa yetu sisi mabinti wa sasa. Mwanamke naweza kuwa na shillingi 50,000 nikaja kuomba 5,000 yako ambayo ndio ipo kulinda mfuko wako na still ukanipatia. Wanaume MUNGU amewapa moyo wa upendo ajabu sana.
Sisi wanawake bila kujijua au kusudi tunawakwaza bila kujali ila mnatusamehe na mnaendelea kuwa na sisi na maudhui yetu. Tunasema unyanyasaji wa kijinsia hufanyiwa wanawake zaidi ila tunapuuza mateso na unyanyasaji wa kisaikolojia mnaopitia kutokana na vituko vyetu vinavyowaumiza mioyo yenu kila uchao, mtusamehe na mturekebishe kwa upole sana.
Tunawapenda na tunawahitaji sana.... Tafadhali msitususie hii dunia na changamoto zake.... Simameni na sisi simameni mtupiganie na sisi tunaahidi kuanza kubadilika na kuwa nyuma yenu.....
Hivi si nyinyi mnaosema hamtaki kutawaliwa na kufuatwa fuatwa, mnataka kuwa huru au mmejisahau? Kwa kweli wanawake hamueleweki kabisa.Wanaume ninyi ndio baba zetu na viongozi wetu. Mbona mnakubali kubaki nyuma katika jamii na kuacha mambo yafeli?!
Ni nani atakuwa mtetezi wetu sisi akina mama na watoto kama ninyi mnaogopa na mnakuwa wadhaifu.
Najua na sisi kuna vijitabia ambavyo huwakwaza na kuwafanya mkose morali ya kushika nafasi zenu.
Ila si mnakumbuka kuwa ninyi ndio mlipewa dhamana ya uongozi wa kutuongoza sisi pamoja na kusimamia shughuli zote za dunia hii?!
Haya mambo yoyote tunayofanya ya kuwakosea ni ninyi mnatakiwa kusimama na sisi kutunyoosha aidha kwa ukali au upendo. Mwanamke anakuwa hakutext eti na wewe unamnunia.... Unaanzaje kumnunia mwanamke badala ya kumuelekeza na kumbadili tabia.
Mwanamke anakuja kukulilia njaa n amatumizi, huyo anakupa ujumbe kuwa amekuamini wewe kuwa caretaker wake unachotakiwa ni kumtaarifu kuwa unataka muwe rasmi na sio ubabaishaji wa kudanganyana tu na kutumiana.....
Najua kada ya kike tunawakosea sana na ni ukweli uliowazi kuwa tutalipia siku si nyingi kwa kutokuwa makini na maelekezo yenu mnapokuwa mnatukanya, mtusamehe na msiache kutuongoza.
Ninyi ni viumbe adimu na muhimu sana katika hii dunia.... Ndio maana hata katika uzao mwanaume hupatikana kwa taabu sana na mwili hutumia nguvu ya ziada katika kuumba mwanaume tofauti na mwanamke. Hii ni wazi kuwa ninyi ni jinsia teule na mliumbwa kuwa viongozi.
Katika Bible, kile kitabu cha Sira 9 mstari wa 2,imewekwa bayana kuwa..... "Usimwachie mwanamke ukuu wako, la sivyo atakutawala kabisa" why mnatuacha sisi ndio tuwe na mamlaka ya kusimamia uchumi wa nyumbani mnataka watoto wawaoneje na kujifunza nini?! Why mnachukulia maisha ni mepesi kwa lugha nyepesi kama kusema hakuna ajira, au maisha magumu.
Hivi mnaona wenzenu akina diamond anavyopambana hadi anaitoa familia yake katika aibu ya ufukara leo wanaheshimika mama Naseeb anapopita na ile gari yake ya bei hakuna asiyeshtuka.
Hebu oneni akina Chris brown, Kevin hart, will smith, idris elba, harmonize, fred vunja bei, na wengine wengi ambao hawafahamiki ila wanapambana na wanasimama nafasi zao, tazama wanavyowasitili wake zao na mama zao na dada zao na fedheha na taabu za hii dunia. Ninyi mnakwama wapi kufanya jambo lolote ili kusimamia jina lako ling'ae na kujenga ukoo imara na kumpa heshima mkeo na mama yako?!
Mataifa makubwa, jamii imara na zenye uwezo ni matokeo ya wanaume imara na wanaoshika nafasi zao bila kutetemeka. Tazama leo wachagga jamii ilikuwa imara sana ila kwasasa inazidi kudumaa na ndio wanaongoza kwa kuwa na vijana marioo, wanaume wa wasukuma na wamasai kidogo bado wanapambana kushika nafasi yao. Na ndio unaona ndio wanashika nafasi kubwa akina laizer, na baadhi ya viongozi.
Ninyi ndio makepteni wa hii dunia, mkilala ninyi nani atasimama na sisi. Achana na haya maneno ya hawa wanaharakati wanaosema mwanamke akiwezeshwa sijui nini hayo ni maneno ya kuficha msiba mzito tulio nao wa kukosa wanaume mashujaa katika jamii hii.
Mimi si kwamba siungi mkono wanawake kutafuta la hasha ni wajibu katika mazingira ya sasa ya kiuchumi ila sasa ndio isiwe hali ya kudumu. Mwanamke anajukumu lake la asili nalo ni kusimamia nyumba yake, mume wake na watoto wakati mumewe akiwa huko nje anapambana.
Jamani wanaume..... Nawaita tena wanaume..... Haijalishi upo umri gani, kuanzia 18,wewe ni mwanaume na unakila sababu ya kukamata nafasi yako na kushika usukani wa uongozi wako. Msitususie haya maisha kwa kukata tamaa. Mnatuachia sisi wanawake ndio tushike mamlaka za uongozi na maamuzi kwann mnafeli hivyo jamani?!
Popote ulipo kaka, rafiki yangu,mdogo wangu wa kiume, naomba usimame kishujaa piga kifua chako sema mimi ni mwanaume na ninakwenda kushika nafasi yangu duniani na kuimarisha mamlaka niliyopewa na wanaume wenzangu. Kama upo nyumbani kwa wazazi umekata tamaa naomba usimame na ujipe wiki moja au mbili na uweke nadhiri ya kutoka hapo ndani na kwenda kuwa na nyumbani kwako. Mkeo wako ambaye haujamuona bado yupo huko anakutafuta kwa maombi na kilio cha moyo na hajaonana na wewe kwasababu tu umechagua kukata tamaa umelala na kujificha ukisema maisha magumu na hakuna pa kutokea.....
Ewe baba ambaye katika familia umeona mkeo ndie mbeba gharama za familia, hebu ionee aibu hiyo hali na tazama upya vyanzo vyako. Huyo ni mkeo sio sponsor wako hadi unamuachia asimamie bili za nyumbani kwa kisingizio cha ugumu wa maisha.
Hapana maisha sio magumu, unayaangalia kwa ugumu. Yangekuwa ni magumu basi kuna watu huko nje wasingekuwa wanafanikiwa nyakati hizi. Ugumu wa maisha haya ni fumbo umewekewa na ukitumia kichwa chako vema utaona njia tofauti. Usiogope kubadili mbinu za maisha katika kutafuta.
Sisi kwetu upendo kutoka kwenu huwa tunausoma kwa namna mnatuhudumia na kutupa matunzo na ulinzi. Sio maneno matupu. Mkifanya hiyo ni dhahiri kuwa heshima itakuja kwenu bila ubishi na mtatupenda zaidi.
Msikate tamaa baba zetu, tunawapenda sana na kuwategemea ninyimsituangushe... Ninyi ndio viongozi wetu na ndio wafalme wetu. Tania na mienendo yetu ya ajabu mtusamehe bure hatuwahi wekwa unyago na kufunzwa kama mama zetu, tunajifunza kupitia matatizo yanayotukuta. Ndio maana single mother ni muelewa kuliko binti ambaye hajazalishwa na kuachwa.....
Mtuvumilie na mtusitiri kwa huruma. Wanaume mna mioyo ya pekee sana na yenye upendo wa dhati ya ndani sana. Sisi tukiwa na ninyi katika maisha huwa tunajiwazia sisi kwanza. Hii ni sifa yetu sisi mabinti wa sasa. Mwanamke naweza kuwa na shillingi 50,000 nikaja kuomba 5,000 yako ambayo ndio ipo kulinda mfuko wako na still ukanipatia. Wanaume MUNGU amewapa moyo wa upendo ajabu sana.
Sisi wanawake bila kujijua au kusudi tunawakwaza bila kujali ila mnatusamehe na mnaendelea kuwa na sisi na maudhui yetu. Tunasema unyanyasaji wa kijinsia hufanyiwa wanawake zaidi ila tunapuuza mateso na unyanyasaji wa kisaikolojia mnaopitia kutokana na vituko vyetu vinavyowaumiza mioyo yenu kila uchao, mtusamehe na mturekebishe kwa upole sana.
Tunawapenda na tunawahitaji sana.... Tafadhali msitususie hii dunia na changamoto zake.... Simameni na sisi simameni mtupiganie na sisi tunaahidi kuanza kubadilika na kuwa nyuma yenu.....
Tunajiona vipi mrembo au yamekuchomaBasi mnajionaaa😛
...🏃🏼♀️
Hapana mkuu ni ujumbe mzuri.tunajiona vp mrembo au yamekuchoma