Ruqaiyah
JF-Expert Member
- Sep 14, 2015
- 1,118
- 1,483
Tatizo tukiwaoa dada zenu wa mikoani na nyie mnataka kuja mjini
Tatizo tukiwaoa dada zenu wa mikoani na nyie mnataka kuja mjini
Hupendi mafanikio ya dada yako .....una roho mbaya ....sana akishavirigwa asubuhi yake inatakiwa unampa pole alaa!Nashukuru maana sio mwanaume wa Dar ila najibu kama mwanaume, kwa upande wangu sipendi na sitaki kujua kuwa kusudi la Dada kuwa pale ni ku.... To..... M.... Bwa hivyo najaribu kuvuta picha ninavyo mviringa demu Wangu halafu eti nipo pale kwa Dada yangu ambae amekuja pale kuviringwa hapo akili yangu inagoma kuwa na hii familia ya Dada yangu karibu maana najua siku hazifanani kuna siku Dada atapunguza mapishi ya bed halafu bwashe atanunia mapaka chakula we utasalimika kununiwa ? Hapo inakuwa ngumu sana
Mkuu we ndo unafanyaga hivyo nini!!?Hupendi mafanikio ya dada yako .....una roho mbaya ....sana akishavirigwa asubuhi yake inatakiwa unampa pole alaa!
Hahaaa bora niwe na liroho langu libaya Mkuu ila sipo tayari kushuhudia utamu wa Dada yanguHupendi mafanikio ya dada yako .....una roho mbaya ....sana akishavirigwa asubuhi yake inatakiwa unampa pole alaa!
Hii ndo point ya msingi, unamnyima kabsa uhuru wa kujiachia ndani/ sebureni kwake akiwa anampokea mumeweUnakaa kwa dadako unamnyima uhuru wa kuvaa kanga moko sebuleni umekomaa na tamthilia za kikorea......Mwisho dada anaamua kujiachia hvohvo...