Wanaume njoon mtoe jibu

nakubaliana na ww
ila huwa nawashangaa hawa wenzetu, utasikia nina shida na elf 50. utafikiri hii hela ndogo na inakuja bure.
nadhani wanamwona mwanaume kama punda.



Ha ha ha alafu sidhani kama kuna mtu kila siku as in day in day out is full of cash to give away.....

Na man power is eternal but not money power......
Nilikuwa na close relative aliolewa na dereva wa daladala...
Coz she was seeking for money power not man power...mjamaa akajikakamua akawa ana azima kila kitu A to Z...
Demu kaolewa anakuja kuona hali halisi wanataka kuachana....
May her soul rip tough!
It wasn't easy!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom