nakubaliana na ww
ila huwa nawashangaa hawa wenzetu, utasikia nina shida na elf 50. utafikiri hii hela ndogo na inakuja bure.
nadhani wanamwona mwanaume kama punda.
afu mkiishiwa mnarudi merelani
Preta wewe sio mwanaume.Mbona tupo sana.........tunalima vitunguu........tunapeleka Kenya........tunauza........tunarudi kula bata na warembo..........
kwani kuna shida gani............