Wanaume njoon mtoe jibu

Wanaume njoon mtoe jibu

Mbona tupo sana.........tunalima vitunguu........tunapeleka Kenya........tunauza........tunarudi kula bata na warembo..........
kwani kuna shida gani............

we sio mwanaume.
afu kulima vitunguu na kupeleka kenya sio kazi ngumu. coz mtu mwenye uwezo huo hafanyi kazi yeye. bali pesa humfanyia kazi.
 
kwani wale wa mererani hawaongi?we unaona kufyatua tofali ni kazi ngumu?umekulia masaki nini?hata kuvunja biscuti unamwita dada wa kazi?
we unaijua kazi tofali wewe? hasa hizi zinazofyatuliwa kwa mashine
 
Humu humu wapo wengi sana, cha msingi hapa SI HAKI KUTATHIMINI mtu katika matumizi yake. Angekuwa anasaidiwa mtu katika kazi anazozifanya ziwe ngumu au rahisi ingekuwa halali kumtolea hoja katika matumizi yake! Mwache mtu na matumizi yake kwenye jasho lake! PILIPILI IKO SHAMBA UNAWASHWA NA NINI ??????

mkuu najaribu kuvuta picha vijana wanavyohangaika kupata sh 10000 mchana kutwa afu jioni wanachomolewa kiulaini
 
Wewe unahangaika kupasua tofali mchana kutwa ,badala ya kuweka akiba ama ku"invest" una honga yote kwa lisaa?....lo!

Mwafrika kwa ubora wake.

yaani mkuu ukifikiria akiri ya mtu mweusi utashangaa
 
Daa iyo mbona kawaida..
Binafsi ni mzibua vinyesi.. ila waifu ailkiomba hata hela yote ya posho nampa yoooote.. samtyms sibaki hata na mia..
na mara nyingi ela zangu ananiekeaga yeye
 
alafu mbona mnamwonea mwafrika jamani... ulaya kabla ligi azijaanza si tulikua tunaona majembe ktk soka wanahonga mademu na kula nao bata kiroho safi..
Tyga mwenyewe kakomaaa kuchana mistari ila juzati kaonga lamborghini kwa mtoto mdogo w miaka 17 tu
 
Usipotoa unaambiwa una mkono wa birika....
Wana mentality kwamba wao ni wa kupewa.....
Sasa nashindwa kuelewa utapewa tu hivi hivi as a random act??
Na huyo anayekupa ana invest akiona investment is not worth doing he gonna dump your sorry ass...
But well kutoa ni moyo haijarishi umepataje cash so na wewe unayepewa uwe na shukrani si kulinganisha kipato cha mbeba zege na afisa wa serikali au mfanyakazi aliye ajiriwa somewhere .....
Kama ni kulinganisha be rational other wise relax....


To give is to love!
Viva poverty!

nakubaliana na ww
ila huwa nawashangaa hawa wenzetu, utasikia nina shida na elf 50. utafikiri hii hela ndogo na inakuja bure.
nadhani wanamwona mwanaume kama punda.
 
alafu mbona mnamwonea mwafrika jamani... ulaya kabla ligi azijaanza si tulikua tunaona majembe ktk soka wanahonga mademu na kula nao bata kiroho safi..
Tyga mwenyewe kakomaaa kuchana mistari ila juzati kaonga lamborghini kwa mtoto mdogo w miaka 17 tu

wale wanahonga wanakumbuka hata kusave.
 
Daa iyo mbona kawaida..
Binafsi ni mzibua vinyesi.. ila waifu ailkiomba hata hela yote ya posho nampa yoooote.. samtyms sibaki hata na mia..
na mara nyingi ela zangu ananiekeaga yeye

mkeo tofuti na hawara au dada poa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom