Mwanyasi
JF-Expert Member
- Nov 16, 2010
- 7,955
- 7,111
Wewe unahangaika kupasua tofali mchana kutwa ,badala ya kuweka akiba ama ku"invest" una honga yote kwa lisaa?....lo!
Mwafrika kwa ubora wake.
Tumia pesa ikuzoeeee
Wewe unahangaika kupasua tofali mchana kutwa ,badala ya kuweka akiba ama ku"invest" una honga yote kwa lisaa?....lo!
Mwafrika kwa ubora wake.
Mbona tupo sana.........tunalima vitunguu........tunapeleka Kenya........tunauza........tunarudi kula bata na warembo..........
kwani kuna shida gani............
Humu humu wapo wengi sana, cha msingi hapa SI HAKI KUTATHIMINI mtu katika matumizi yake. Angekuwa anasaidiwa mtu katika kazi anazozifanya ziwe ngumu au rahisi ingekuwa halali kumtolea hoja katika matumizi yake! Mwache mtu na matumizi yake kwenye jasho lake! PILIPILI IKO SHAMBA UNAWASHWA NA NINI ??????
we sio mwanaume..
Usipotoa unaambiwa una mkono wa birika....
Wana mentality kwamba wao ni wa kupewa.....
Sasa nashindwa kuelewa utapewa tu hivi hivi as a random act??
Na huyo anayekupa ana invest akiona investment is not worth doing he gonna dump your sorry ass...
But well kutoa ni moyo haijarishi umepataje cash so na wewe unayepewa uwe na shukrani si kulinganisha kipato cha mbeba zege na afisa wa serikali au mfanyakazi aliye ajiriwa somewhere .....
Kama ni kulinganisha be rational other wise relax....
To give is to love!
Viva poverty!
alafu mbona mnamwonea mwafrika jamani... ulaya kabla ligi azijaanza si tulikua tunaona majembe ktk soka wanahonga mademu na kula nao bata kiroho safi..
Tyga mwenyewe kakomaaa kuchana mistari ila juzati kaonga lamborghini kwa mtoto mdogo w miaka 17 tu