Wanaume njoon mnipe jibu

Mungu anisamehe. Niliombwa show na mke wa rafiki , nikapiga.

Chanzo jamaa yangu anamaliza wiki ni kula kulala. Lakini anatembeza rungu nje kama chizi. Akiombwa ndani ni dk 5 amesepa.

Mama akitamani anaandaa mazingira ananikonyeza, nampa.

Ndo maisha yetu.

Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
Ulikuwa unafanya jambo la hatari sana Mkuu.

Vyema kama ulifanikiwa kumwacha huyo Shemeji yako, maana alikuwa anatengeneza vita ya Tatu ya Dunia.

Mke ana uma Mkuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom