wanaume!!nimewanyooshea mikono

Jamaaa hapo juu amekuuliza kila unapoandika neno UNAGONGA ENTER? mbona uandishi wako upo tofauti na MBAYA sana Dada! duuuuuh hizo sentensi gani hizo wewe?

mbona
nimeshamjibu?hujaona?
 
Kwahiyo uking'ang'nizwa tuu unakubali?natamani ningekuwa mimi huyo mng'ang'anizaji,ningekung'ang'aniza kukugonga hadi ungekubali.Wanawakee bana nimewavulia msuli!!

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums

hivi
wewe
umesoma
vizuri
nakuelewa?au
unakurupuka
tu,kujibu
wapi
nimeandika
nilikubali?
 
aaah huyo alikuwa mkware tena bahati yako angeweza kukubaka huyo!!!
 
Duh!kwanza umemkubali jamaa mwenyewe, pili, umesahau kusifia gari yake, hata jibu ulilompa lilikuwa jepesi sana.nahisi kiasi fulani umeupenda ujasiri wake.Ni nadra sana kwa msichana kukubali lift ya mwanaume usiyemjua, na hasa katika jiji la DSM.haka ka ujasiri kanatuacha na maswali mengi sana juu yako.anyway, tunaamini akitokea leo palepale hutatupa story zaidi kwa kuwa mmeshazoeana.Tunakushukuru kwa ku-share na sisi your love experience
 
Agh nilikuwa mm nadhani...kumbe we binti ni member wa JF umekuja kunianika huku?
 
SSheeee........!!! kumbe ni namna hiyo tu! Basi huyo jama ni mstaarabu,mshukuru sana.
Mwingine angekubaka.!!
 
vya bure vitawamaliza wanawake maana nyie kila kitu mnasema manapiga mzinga mtapiga mzinga wa nyuki muone nini kilichomo
 
JINI HILO shauri yako

ukweli
ndio
huo
nilioandika
hapo,
sifa
nilizompa
ni,phisical
apearance
yake,kwani
hujui
apearance
yako
inaweza
kukutambulisha
kuwa
wewe
ni
mtu
wa
naina
gani?
 
Ungekiss tu kama ishara ya kulipa fadhila za kudandia lift za usiowajua....
 
Sifa ulizo mpa tu,afu kusema "mara ya kwanza kumuona" haya maneno yananipa full tabia yako...nikikosea ni asilimia chache sana. na napata picha ulimalizananae vipi...

Hujakosea...
 

Mkulu alishasema, ukila vya mwenzio na vyako sharti viliwe japo kidogo. We unakata kula tu. Hapana haiwezekani!!! Kwe kwe kwe!!! Sina maana hiyo!!
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…