- Thread starter
- #21
Sasa utaoaje kabla hujaatract mzee lazima uoneshe ulichonacho akipenda atakuja akinogewa atakwambia nioe tumia akili hata kidog basiKama unataka hivyo si uoe tu mkuu
Sasa utaoaje kabla hujaatract mzee lazima uoneshe ulichonacho akipenda atakuja akinogewa atakwambia nioe tumia akili hata kidog basiKama unataka hivyo si uoe tu mkuu
Akamtolee mahari ili amuoe. Ili wasizini.Fanya kamtolee mahari oa kabisa ..unataka ahamie muendelee kuzini baharia..!!!..
wapi hapo nmeandika nataka kuoaKwa namna ulivyojieleza hapo na gheto lako lilivyo mzee nakushauri tafuta tu hela usiwaze kuoa kwanza
nmeshaweka kwenye badget hio Asante kwa ushauri.Usisahau sabufa mzee au saundibaa
Kwanza huyo mdada atakaedata hapo nae atakuwa kipengele sanaKwa namna ulivyojieleza hapo na gheto lako lilivyo mzee nakushauri tafuta tu hela usiwaze kuoa kwanza
Hakikisha hizi zana unazoKwani gheto ni nini?Gheto ni nyumba yoyote ambayo unaishi single!
Just a clean house and bathroom.[Wadada pia changien mnapenda Geto la mwanaume liwe na nini mpaka uamue kuweka makazi hapo]
Ni geto la aina gani linamdatisha mdada/mwanamke/mchumba
twambie kwa uzoefu wako
Funguka
inabidi tupate tafsiri ya neno geto kwanza
Duh mnaleta ushua kwenye magheto hiv mnajua maana ya gheto !! Na gheto life!Kwanza huyo mdada atakaedata hapo nae atakuwa kipengele sana
🤣🤣🤣Hakikisha hizi zana unazoView attachment 1677472
Asante kwa ushauri boss.The bluututh divaizi is rede to pear.vikose vi2 vyote lakin sio haka kakifaa.
🤣🤣🤣inabidi tupate tafsiri ya neno geto kwanza
Just a clean house and bathroom.
Halafu ili nifurahie zaidi pawe na books and gaming PC.
Pc ipo full of gamesJust a clean house and bathroom.
Halafu ili nifurahie zaidi pawe na books and gaming PC.
Yaani anajionyesha jinsi alivyo bonge la fala na pimbi wa kutupwa...kwanin wabongo tunadhani kukoment ujinga ni ujanja?
maana imeshatolewa imeisha hiyo