Mkaruka
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 19,617
- 34,062
Mambo ya kizamani 🤣🤣🤣🤣Bandika magazeti ukutani mkuu.
Magheto ya "maBULOO" wa zamani.
Mambo ya kizamani 🤣🤣🤣🤣Bandika magazeti ukutani mkuu.
Kakikaa wiki unatamani namna ya kukaondoa
😂😂😂😂😂 pika pakua pakuana za siku 3 ni kama wako honey moon to the moon ila sasa baadaeYaan..!!wanahamia taaratibu...!!geto linaanza kugeuka getruda
hela nnanzo nyingi tu nnaweza kukununulia akili piaSasa kweli gas ,feni na chakula ni asset ... we utakua unakaa Uswahilini ... Hela huna ww ... Acha maneno mengi ..tafuta hela
Sisi tulikuwa tunaweka chupa za soda badala ya Masinia. Tumetoka mbali sana.Hakikisha hizi zana unazoView attachment 1677472
😃😃😃😃 naona mhenga mwenzangu umenielewa vzr sana.Mambo ya kizamani 🤣🤣🤣🤣
Magheto ya "maBULOO" wa zamani.
😃😃😃😃 asante kwa kunisaidia kumuelewesha mkuu.Yeye anawadatisha kwa kubandika magazeti ukutani mkuu sasa hapo ujinga upo wap
pika pakua pakuana za siku 3 ni kama wako honey moon to the moon ila sasa baadae
Noma sana hiyo.😃😃😃😃 naona mhenga mwenzangu umenielewa vzr sana.
Hapo zinapangagwa safar za ghafla 😂😂😂😂Hahahahaaaa...!!yamenikuta yan...nmepakua wiki 2....sasa mtu kutoka hataki...!!yaan akikaa sana siku 2 anarudi tena....namvizia nihame
😂😂😂😂 baby na huku unaninyatia ?Fanya kamtolee mahari oa kabisa ..unataka ahamie muendelee kuzini baharia.
Mimi nipo tayar kulala chini ila haka kakifaa kasikose geto na kakikosa geto ujue iyo si geto bali ni nyumba ya kulala wageni.The bluututh divaizi is rede to pear.vikose vi2 vyote lakin sio haka kakifaa.
Wachana na maghetto, wewe tafuta helaaaaaaaaaaaaaaaTuachane na shughuli kitandan tuongelee makazi (Geto)
Kuna kadada kamoja nlidate nako mwaka jana nakumbuka swali aloniuliza "una geto kali hiv alafu huna hata mke"
Tupeane maujanja ni Vitu gan vinahitajika GETO la kijanja ili mdada adate kwelikweli akiingia mara moja tu lazima atake kurudi au atake kuishi hapo kabis
[Wadada pia changien mnapenda Geto la mwanaume liwe na nini mpaka uamue kuweka makazi hapo]
Ni geto la aina gani linamdatisha mdada/mwanamke/mchumba
Tuambie kwa uzoefu wako
Funguka
umetishaM kwa upande wa kichuchuo gheto lazma uwe na
kitanda na godoro at least 4/6
sabufa
vifaa vy kupikia
meza lbda na vit 2
Pc au ka flat
msosi
treys
Stands za viatu
Baadh ya mikoa Hamna haja ya jokof Wala fan.
Flat na TV stand
boksi la kondom